Kamati ya Bunge, Nape wakagua ujenzi ofisi za Makao Makuu TBC

0
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miuondombinu na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakikagua mradi wa ujenzi wa Makao Makuu ya Ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania...

Nape atembelea eneo la ujenzi TBC makao makuu

0
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akiwa na viongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) katika eneo la mradi wa ujenzi wa makao makuu ya ofisi za TBC, Vikonje, Jijini...

Tafiti zabainisha uwekezaji makuzi ya watoto bado mdogo

0
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Makundi Maalumu, Dkt. Dorothy Gwajima amesema tafiti mbalimbali zilizofanyika barani Afrika zimebaini kuwa uwekezaji kwenye malezi na makuzi ya watoto wadogo bado ni mdogo.Amesema uwekezaji huo huenda...

Zawadi yetu kwa Rais Samia

0
Wanafunzi wa shule ya msingi Bunge iliyopo Ilala Mkoa wa Dar es Salaam wamekabidhi picha yenye mfano wa sura ya Rais Samia Suluhu Hassan akiwa amembeba mtoto kama zawadi kwa Rais.Picha hiyo imepokelewa na...

Hakuna mtaa unaozaa watoto

0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kila mtoto ametokana na mzazi ambaye ni Baba na Mama na mtoto huyo anaweza kuwa na mlezi ambaye ni ndugu wa wazazi.Amesema kutokana na...

TASAC : Boti imezama wakati wa majaribio

0
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetoa taarifa kuhusu tukio la kuzama kwa boti ya uvuvi yq MV LEGACY na kusema kuwa ilizama ikiwa katika majaribio ya kiufundi baada ya matengenezo ya mifumo...

Tumechelewa kupata taarifa ya boti kuzama – Zimamoto

0
Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Zimamoto Kinondoni, Dar es Salaam, Elisa Mugisha amewataka wananchi kuwa wepesi kutoa taarifa pale panapotokea tatizo au kuwepo na taarifa za matukio yanayohitaji uokoaji.Amesema kwa...

Samia: Nitapambana wengi watumie nishati safi ya kupikia

0
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ataendelea kuwawezesha Watanzania ili ifikapo mwaka 2030 zaidi ya asilimia 88 wawe wanatumia nishati safi ya kupikia."Ahadi yangu kwenu ni kuhakikisha asilimia kubwa ya Watanzania wanatumia nishati safi ya...

Nimeibeba ajenda ya Nishati Safi ya kupikia hapa nchini”

0
'Nimeibeba ajenda ya nishati safi ya kupikia hapa nchini'Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassanhttps://www.instagram.com/reel/C4SyoyJODs-/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==

Serikali yaibwaga mahakamani kampuni ya kimataifa

0
Serikali imeibuka kidedea kwenye kesi iliyokuwa ikiendeshwa katika Baraza la Kimataifa la Biashara (International Chamber of Commerce-ICC) dhidi ya Kampuni ya Alchemist Energy Trading DMCC kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu.Uamuzi wa kuipa Tanzania...