Dk. Bilal afanya mazungumzo na ujumbe wa Marekani![]() Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal leo Ijumaa Juni Mosi, 2012 amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa watu saba kutoka Marekani ukiongozwa na Seneta kutoka Delaware Christopher Coons. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais alielezea kufurahishwa kwake na uhusiano mzuri ulipo kati... Read more |
Halmashauri zaagizwa kutanangaza vituo vya uhimiliWaziri wa maendeleo ya mifugo na uvuvi Dokta Mathayo David ameziagiza Halmashauri zote nchini kushirikiana na Wizara katika kutangaza vituo vya uhimilishaji wa ng’ombe ili wafugaji waweze kutumia fursa hiyo ili kuongeza uzalishaji wa ng’ombe nchini. Mathayo ameyasema hayo wakat... Read more |
Dk. Shein asikitishwa na vurugu ZanzibarRais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein leo hii amekutana na wahariri, waandishi wa habari kutoka vyombo mbambali hapa nchini pamoja na mawaziri wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar katika kuelezea hali ya machafuko yaliyojitokeza siku chache zilizopita huko v... Read more |
TAMISEMI yawataka wakopeshaji kuwasiliana na waajiOfisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa imezitaka taasisi za kifedha kuwasiliana na waajiri kabla ya kutoa mikopo kwa watumishi wa serikali za mitaa ili kuepusha mtumishi na dhahama ya kudaiwa madeni yanayomsababisha kuzikimbia ofisi na familia. Tamko hilo limetolewa na naib... Read more |
Mgogoro wa wakulima na mtaalamu waibuka NkasiWakulima wa zao la mpunga katika vijiji aba vya kata za Kipili na Kirando wilayani Nkasi mkoani Rukwa wanakabiliwa na mgogoro wa kimaslahi kati yao na mtaalamu mmoja wa mifereji ya maji. Mgogoro huo ulianza kutishia uvunjifu wa amani katika jamii unatokana na mtaalamu huyo wa mifereji ya maji... Read more |
Dk. Bilal akutana na waziri wa Finland![]() Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal amekutana na Waziri wa Maendeleo wa Finland Mheshimiwa Deidi Hautala ambapo wamezungumzia masuala mbalimbali kuhusu ushirikiano na maendeleo ya nchi hizi mbili. Katika mazungumzo hayo Dk. Bilal amemweleza waziri huyo... Read more |
Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal leo Ijumaa Juni Mosi, 2012 amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa watu saba kutoka Marekani ukiongozwa na Seneta kutoka...
Halmashauli ya wilaya ya Bukoba mkoani Kagera inaendesha mpango wa kuwawezesha wataalamu wa kilimo na mifugo wawafikie wakulima kwenye maeneo yao mpango ambao un...
Serikali kupitia ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi ya Sekta Binafsi imetoa rukuzu yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 15 kwa wajasiriamali wadogo na wa kati zaidi...
Utafiti TAMWA wabaini chanzo cha wanafunzi shule za kata kufeli, kupata mimba
Wakuu wapya wa wilaya wanapaswa kuandaa mipango mkakati ya kuondoa matatizo yanayocha...
Baadhi ya watu walionusurika kuuwawa katika mashambulio yanayoendelea nchini Syria wameeleza jinsi wauwaji walivyovamia nyumba zao na kuwauwa baadhi ya wanafamilia mau...
Katika masumbwi, aliyewahi kuwa bingwa mara tatu katika mchezo wa ngumi Johnny Tapia amekutwa amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 45.
Tapia amekutwa amefariki d...