Wakuu wa Wilaya Mwanza watakiwa kuzingatia hofu ya![]() Mkuu wa mkoa wa mwanza injinia Evarist Ndikilo amewaapisha wakuu wapya wa wilaya za mkoa huo na kuwataka watekeleze majukumu yao huku wakizingatia hofu ya Mungu. Injinia Ndikilo amewaelekeza wakuu hao saba wa wilaya kuwa katika kutekeleza majukumu yao, utatuzi wa kero za wananchi na kujituma ... Read more |
Mwanri awaagiza madiwani kuwa wakali kusimamia matNaibu waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu TAMISEMI Aggrey Mwanri amewaagiza madiwani nchini kuwa wakali katika kusimamia matumizi ya pesa za halmashauri zao na kila baada ya miezi mitatu wadai taarifa ya mkakuguzi wa ndani. Amesema madiwani wakishirikiana na watendaji ... Read more |
Dk. Shein: Mfumuko wa bei za vyakula uko chini Zan![]() Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DR. Ali Mohamed Shein amesema licha yakuweko mfumko mkubwa wa bei za vyakula katika nchi mbali mbali, bado Zanzibar kuna unafuu ikilinganishwa ... Read more |
RC Dodoma awaasa wakuu wa wilaya kushirikiana na wMkuu wa mkoa wa Dodoma Dr Rehema Nchimbi amewaapisha Wakuu saba wa wilaya mkoani kwake ikiwemo wilaya mpya ya Chemba na kuwataka wajitahidi kuonekana kwa wananchi ili kushirikiana kwa pamoja kutatua kero zao. Akizungumza baada ya kiapo hicho, Dr. Nchimbi amesema kuwa mkoa wake unataraji... Read more |
Medeye apiga marufku uwekezaji kinyemela![]() Naibu Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Goodluck Medeye amepiga marufuku raia yeyote kutoka nje ya nchi kupewa ardhi ya kuwekeza bila ya idhini ya mkuu wa mkoa na Kituo cha Uwekezaji nchini. Medeye ametoa agizo hilo mjini Mbeya wakati wa mkutano na maafisa ardhi, mipango miji ... Read more |
Serikali kuwapatia Wahadzabe nyama ili washiriki SSerikali mkoani Manyara inaandaa utaratibu wa kuwapatia watu wa jamii ya wawindaji wa kabila la Wahadzabe, wanaoishi katika bonde la Yaedachini, wilayani Mbulu, kitoweo cha nyama inayotokana na wanyamapori, ili waweze kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kuf... Read more |
Mkuu wa mkoa wa mwanza injinia Evarist Ndikilo amewaapisha wakuu wapya wa wilaya za mkoa huo na kuwataka watekeleze majukumu yao huku wakizingatia hofu ya Mungu.
I...
Wananchi wa Zambia wamesikitishwa na kitendo cha serikali ya Zambia kushindwa kutoa taarifa kwa umma na kukaa kimya juu ya ugonjwa wa Rais &nb...
Kukosekana kwa mitaji ya wanawake waishio maeneo ya Vijijini,imekuwa chanzo cha wanawake wengi kuishi maisha duni yanayokwenda kinyume na mapambano dhidi ya adui umask...
Utafiti TAMWA wabaini chanzo cha wanafunzi shule za kata kufeli, kupata mimba
Wakuu wapya wa wilaya wanapaswa kuandaa mipango mkakati ya kuondoa matatizo yanayocha...
Mahakama kuu nchini Pakistan imesema itaangalia upya kinga ya kutoshitakiwa aliyowekewa rais wa nchi hiyo katika wiki mbili zijazo, itakapokuwa ikisiliza kesi ya kudha...
Timu ya Town Star ya wilaya ya Bunda imejinyakulia kitita cha shilingi laki tano na kikombe baada ya kuichapa timu ya Amani kwa penati 4-2 baada ya mchezo huo wa faina...