Kituo cha huduma kwa pamoja huko Namanga chazinduliwa

0
Rais  John Magufuli na Rais  Uhuru Kenyatta wa Kenya wamezindua kituo cha huduma kwa pamoja mpakani katika eneo la Namanga mpakani mwa Tanzania na Kenya.Pamoja na kuzindua ofisi za kituo hicho katika pande zote...

Prof. Jay Amtembelea Mzee Kikwete

0
Mwanamuziki nguli nchini, Joseph Haule (Prof. Jay), amemtembelea Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, nyumbani kwake mkoani Dar es Salaam.Kwenye ukurasa wake wa X (zamani Twitter), Mzee Kikwete ameandika, "Leo nimetembelewa na Profesa...

Dkt Mabula ashangaa Mafia kuwa na Mtumishi Mmoja Idara ya Ardhi

0
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameagiza kupatiwa majina ya Watumishi Saba wa Idara ya ardhi, waliopangiwa kuhamia katika halmashauri ya wilaya ya Mafia mkoani Pwani...

HONGERA CHITAMA

0
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Mosses Chitama akikata keki ya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa ambayo pia ni siku yake ya kustaafu.Katika hafla fupi iliyofanyika...

Dkt. Tulia akutana na Spika wa Indonesia

0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Jamhuri ya Indonesia, Dkt. Puan Maharani katika ofisi za Kituo cha...

PICHA: Baadhi ya Wabunge, kabla ya Mjadala wa Bajeti

0
Picha za baadhi ya wabunge leo Juni 20, 2022 kabla ya kuanza kwa mjadala wa bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Harmonize aja na tamasha litakalofanyika kwa siku tatu

0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva), Rajab Abdul maarufu Hamronize ametangaza kuanzisha tamasha kubwa la muziki litakalofanyika Uwanja wa Uhuru kuanzia Novemba 28, 2020.Harmonize amesema tamasha hilo kubwa litafanyika kwa muda wa...

Serikali kuendelea kushirikiana na wawekezaji

0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali itaendelea kufanya kazi kwa kushirikiana na wawekezaji katika sekta mbalimbali nchini wakiwemo wenye viwanda vya kuzalisha saruji.Waziri Mkuu Majaliwa ametoa kauli hiyo mkoani Tanga wakati akizungumza na...

Serikali na mpango mkakati wa kusimamia Ziwa Victoria

0
Serikali imesema itaendelea kushirikia na wataalam wa mazingira kutoka nchini India na maeneo mengine ya dunia kuhakikisha changamoto ya athari za mazingira hususani katika Ziwa Victoria zinapatiwa ufumbuzi wa kudumu kwa manufaa ya nchi.Hayo...

TCU yapunguza siku za uhakiki wa vyeti vya wanafunzi

0
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) katika kipindi cha mwezi Novemba 2015 hadi Novemba 2019 imefanya uhakiki na utambuzi wa uhalali wa vyeti 8,328 vya wahitimu waliotunukiwa tuzo zao na vyuo vikuu vilivyo nje...