Simamieni fidia kwa wafanyakazi wenu

0
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Dkt. John Mduma amesema kuna umuhimu kwa Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi kuhakikisha fidia stahiki inatolewa kwa wakati pindi wafanyakazi walio chini yao wanapoumia,...

Wizara yapania kuboresha hali za wafanyakazi

0
Wizara ya Maliasili na Utalii imepania kuendeleza hali bora za wafanyakazi wakati huu ambao sekta ya Maliasili na Utalii ikiendelea kuwa na nchango mkubwa katika uchumi kutokana na kuingiza fedha za kigeni kwa asilimia...

Moshi yazindua chanjo dhidi ya saratani

0
Halmashauri ya Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro imezindua zoezi la utoaji chanjo dhidi saratani ya mlango wa shingo ya kizazi kwa wasichana wenye umri wa kuanzia miaka tisa hadi 14.Katika zoezi hilo lililozinduliwa leo...

Bashungwa : Nileteeni majina tuwachukulie hatua

0
Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kuwasilisha majina ya Mameneja wa Kanda na Mikoa wa TEMESA ambao wameshindwa kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia...

Shule zilizoathiriwa na mafuriko kujengwa

0
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, akiwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Carolyne Nombo, wametembelea baadhi ya maeneo yaliyokumbwa na mafuriko hususani kujionea hali ya shule mbalimbali zilivyo.Kutokana...

Msigwa msibani kwa Gardner

0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa ni miongoni mwa viongozi mbalimbali waliofika katika viwanja vya Leaders Club mkoani Dar es Salaam, kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa mtangazaji...

Tumekuja kuliombea Taifa

0
Maelfu ya Watanzania wamefika katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma kwa ajili ya kushiriki kwenye maombi na Dua ya kuliombea Taifa katika kipindi hiki cha kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano.

Maombi ya kuliombea Taifa Dodoma

0
Baadhi ya Watanzania waliofika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma yanapofanyika Maombi na Dua ya kuliombea Taifa kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wakiendelea na maombi hayo.Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango anawaongoza...

Mtoto wa Gardner msibani Leaders

0
Mtoto wa Mtangazaji wa Clouds FM marehemu Gardner Habash, Kareen Habash akiwa katika viwanja vya Leaders Club mkoani Dar es Salaam ambapo ndugu, jamaa na marafiki wanatoa heshima za mwisho kwa mtangazaji huyo.Gardner alifariki...

Maombi na Dua ya kuliombea Taifa

0
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma ambapo anawaongoza Watanzania kwenye Maombi na Dua ya kuliombea Taifa katika kipindi hiki cha kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano.Watu...