RC MAKONDA : KAMA HARMONIZE ANATUMIA BANGI AKIRUDI ATASUKUMWA NDANI

0
https://www.youtube.com/watch?v=NNQwrd6OGxU

Wasafi FM yafungiwa kwa siku saba

0
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha utoaji huduma za utangazaji kwa Wasafi FM kwa muda wa siku saba kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 18 mwaka huu.Uamuzi huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TCRA,...

Miss Tanzania ashangazwa na uchimbaji wa Madini

0
Mlimbwende wa Tanzania mwaka 2021 Rose Manfere ameelezwa kushangazwa na namna shughuli za uchimbaji wa madini zinazofanywa huku akisifu shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa namna linavyosimamia rasilimali hizo.Mrembo huyo ambaye ametembelea Banda la wizara ya...

Wafukuzwa kazi baada ya kutokea dosari kwenye tamasha

0
Waziri wa Utamaduni wa Algeria, -Meriem Merdaci's amejiuzulu wadhifa huo, zikiwa zimepita siku chache kufuatia watu Watano kufariki Dunia baada ya kukanyagana katika tamasha la muziki.Tamasha hilo lilikua likitumbuizwa na Mwanamuziki nyota wa nchi...

Simba yapigwa faini kisa ushirikina

0
Simba SC imetozwa faini ya shilingi Milioni moja kwa kosa la mashabiki na walinzi wake wa uwanjani kupanga njama na kufanikisha azma ya kuingia uwanjani na kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina katika mchezo.Mashabiki...

Ni Liverpool vs RB Leipzig, Man City vs Borussia Monchengladbach

0
Droo ya 16 bora ya mashindano ya Klabu Bingwa Barani Ulaya imetangazwa rasmi mara baada ya kumalizika kwa hatua ya makundi wiki iliyopita.Chelsea watakutana na Atletico Madrid ambao ni vinara wa ligi ya Uhispania,...

Tiwa Savage atunukiwa Shahada ya Heshima

0
Mwimbaji na mtunzi maarufu wa Nigeria, Tiwa Savage amepokea Shahada ya heshima ya udaktari kutoka chuo Alma Mater, Chuo Kikuu cha Kent nchini Uingereza.Tiwa alitunukiwa shahada hiyo, kwa uchezaji wake na kuwa na...

Justin Bieber awapa mashabiki zawadi ya Krismasi na mwaka Mpya

0
Nyota wa Pop kutoka nchini Canada ametangaza kuachia wimbo mpya, uitwao Yummy, mnamo 3 Januari 2020 – ambao utakuwa ni wimbo wa kwanza kutoka katika albamu yake inayokuja, ambayo bado haijapewa jinaJustin ana umri...