Watanzania tusikubali kugawanywa

0
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Abdulrahman Kinana amesema Serikali haikatai kukosolewa wala kusahihishwa ila ingependa hayo yasifanywe katika ajenda zitakazowagawa Watanzania.Kinana ameyasema hayo mkoani Dodoma wakati wa mkutano wake na wanachama...

Likizo kwa wanaojifungua watoto njiti ni faraja

0
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Doris Mollel, Doris Mollel amesema tamko la serikali la kukubali ombi la kuongeza siku za likizo kwa wanaojifungua watoto njiti limetoa faraja kwa wanaojifungua kabla ya wakati na litasaidia...

Kimbunga HIDAYA kinasogea Pwani ya Tanzania

0
Kimbunga “HIDAYA” kimeendelea kuimarika na kusogea kuelekea maeneo ya pwani ya Tanzania ambapo hadi kufika saa 9 usiku wa tarehe 03 Mei 2024 kilikuwa kimeimarika zaidi na kufikia hadhi ya Kimbunga kamili kikiwa umbali...

Mwili wa aliyefukiwa na kifusi mgodini wapatikana

0
Mwili wa mchimbaji mdogo wa madini Bahati Ngalaba aliyefukiwa na kifusi cha udongo kwa muda wa siku saba katika mgodi wa Golden Hainga, Kata ya Nyarugusu Wilaya ya Geita umepatikana.Bahati aliyefukiwa na kifusi Aprili...

Ulishapita Shekilango? Mwenye jina hilo wamjua?

0
Jijini Dar es Salaam kuna Barabara Mashuhuri inayoitwa 'Shekilango', ikianzia maungio ya Barabara ya Morogoro, eneo la nyumba za NHC, mkabala na Kiwanda cha Urafiki, ikipitia mitaa yote ya Sinza na kuishia Mmaungio ya...

Mwenge kupitia miradi ya Trilioni 8.53 Pwani

0
Mwenge wa Uhuru umeanza mbio zake mkoani Pwani ambapo ukiwa mkoani humo utapitia miradi 126 yenye thamani ya shilingi Trilioni 8.53.Mkuu wa Mkoa Pwani, Abubakari Kunenge amesema ukiwa katika mkoa huo, Mwenge wa Uhuru...

Mapande ya barafu yawa ghali Mali kuliko mkate

0
Joto kali ambalo limevunja rekodi limesababisha vipande vya barafu sasa kuuzwa kwa gharama kubwa kuliko mkate au paketi ndogo ya maziwa katika baadhi ya maeneo nchini Mali."Nimekuja kununua barafu kwa sababu kuna joto sana...

Bandari Mtwara yazidi kujiimarisha kivifaa

0
Bandari ya Mtwara imepokea boti maalumu kwa ajili ya kusaidia meli kutia nanga na kuondoka kwenye gati mara baada ya kushusha au kupokea mizigo.Boti hiyo maarufu kama Tugboat yenye thamani ya shilingi bilioni 25...

Rais Samia kuzindua ‘Mfanyakazi Tanzania’

0
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limesema linaanza kutoa rasmi gazeti maalumu ambalo litazungumzia masuala mbalimbali ya wafanyakazi nchini ambalo litafahamika kwa jina la ‘Mfanyakazi Tanzania’.TUCTA imesema gazeti hilo linatarajiwa kuzinduliwa rasmi na...

Mashabiki Yanga wachekelea Masandawana kutolewa

0
Huenda mashabiki wa Yanga SC ndio wenye furaha kwa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kutolewa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, kuliko hata mashabiki wa Esperance ya Tunisia ambayo ndiyo imeitoa Mamelodi.Furaha ya...