Mambo 5 ya kuzingatia unapotaka kununua kompyuta

0
Watu wengi hupata changamoto sana wanapotaka kununua tarakilishi (kompyuta) hasa kutokana na ukweli kuwa hawafahamu vitu vya kuzingatia, na hivyo hujikuta wakiishia kuangalia rangi na muonekano wa nje wa kompyuta.Kuna vitu kadha wa kadha...

Mawazo mbalimbali ya meza ambazo zitapendezesha mwonekano wa TV yako.

0
Mbali na TV kuwa chanzo cha burudani, lakini pia nafasi kubwa katika kupendezesha sebule yako au chumba chako. Hivyo basi, unahitaji meza mzuri ambayo itaongeza nakshi na mwonekano mzuri wa nafasi katika nyumba yako....

Video: Dkt Otieno akielezea tiba asili inavyotibu corona

0
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na mjadala mkubwa kuhusu nafasi ya tiba asili katika kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona, ambapo baadhi wamekuwa wakisema ni tiba sahihi na salama huku kundi jingine...

Wabunifu Watanzania washauriwa kuhalalisha kazi zao

0
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza amewataka wabunifu wa Tanzania kuhalalisha kazi zao za mitindo ili kupata furusa mbalimbali zinazopita kwenye wizara kutokana na kujulikana na kutambulika na serekali...

Hoteli hii ipo nchi mbili tofauti

0
Hoteli hii ndogo inayoendeshwa na familia ‘Hotel Arbez Franco-Suisse’, pia inajulikana kama L'Arbézie.Upekee wa hoteli hii ni mahali ilipo ambapo ipo katika mpaka wa kimataifa.Uwepo wa hoteli Arbez Franco-Suisse katika eneo hilo ni matokeo...

Vanessa Mdee aendelea kukipaisha Kiswahili

Msanii na Mrembo kutoka nchini Tanzania, Vanessa Mdee na mchumba wake Rotimi ambaye pia ni msanii kutoka nchini Marekani mwenye asili ya Nigeria, kwa pamoja wameandika kitabu kiitwacho ‘SWAHILI 101...

Vanesa Mdee azidi kupasua anga la kimataifa.

0
Mwanamuziki na mwanaharakati wa haki za wanawake, Vanessa Mdee amefanikisha kurusha sehemu ya kwanza ya podcast yake ya ‘Deep Dive with Vanessa Mdee’ leo kwenye application ya Spotify, Google Podcasts na Apple Podcasts App.Mdee...

Mtu mpweke zaidi duniani afariki dunia

0
Mtu wa mwisho aliyebaki kutoka kikundi kimoja cha asili nchini Brazil amefariki dunia, akikadiriwa kuwa na umri wa miaka 60.Habari kutoka nchini Brazil zinaeleza kuwa, mtu huyo mwanaume ambaye jina lake...

Njia 6 za kujikinga na corona eneo la kazi

0
Hadi Machi 12, 2020 jumla ya visa vya virusi vya corona vilivyoripotiwa duniani kote ni zaidi ya 129,000 ambapo vifo ni 4,749 na watu waliopona wakiwa ni zaidi ya 68,667.Virusi hivi vimezidi kusambaa kwa...

Ataka kuvunja rekodi kwa kupika saa 97 mfululizo

0
Huko nchini Nigeria mfanyabiashara wa migahawa na mwandishi wa maudhui ya chakula, Hilda Baci maarufu kama Food by Hilda,  ametangaza  jaribio lake la kuvunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa mtu mmoja kupika muda...