Makambo Aondoka Yanga
Yanga SC imeachana na mshambuliaji wake kutoka DR Congo, Heritier Makambo ambaye alirejea Yanga Agosti 2021 akitokea Horoya AC ya nchini Guinea alikodumu kwa misimu miwili tangu mwaka 2019.Kupitia kurasa za mitandao ya kijamii,...
Aryna aitaka fainali dhidi ya Azarenka
Aryna Sabalenka anasema anatamani kucheza fainali ya michuano ya wazi ya Australia mwaka huu na raia mwenzake wa Belarusi Victoria Azarenka, ili kuweka historia katika michuano hiyo na taifa lao.Azarenka ambaye ni bingwa mara...
Kuiona Azam FC Chamazi ni bure
Klabu ya soka ya Azam FC imetangaza kuwa kuanzia sasa mechi zao zote zilizobaki za msimu huu, watakazocheza katika uwanja wao wa nyumabani Azam Complex, Chamazi hakutakuwa na kiingilio zaidi ya shabiki atatakiwa kuvaa...
UEFA yaichunguza Man City
Klabu ya Manchester City inachunguzwa kwa
kukiuka kanuni za matumizi ya pesa kwenye usajili na uendeshaji wa klabu hiyo
kupita kiasi ambacho klabu hiyo inaingizia kwenye mapato yake.Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA) limesema
kuwa linaendesha uchunguzi...
Simba yaendelea kujikita kileleni, Yanga yavutwa shati Taifa
Klabu ya Simba ya jijini Dar es salaam imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya timu ya Mtibwa Sugar ya mjini Morogoro na kuifanya kufikisha alama 53 na hivyo kuendelea kujikita kileleni...
United yaichapa Newcastle, yakwea hadi nafasi ya pili EPL
Timu ya Manchester United imeibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliopigwa usiku wa jana, katika Uwanja wa Old Trafford.Mabao ya Manchester Unted yamefungwa na...
Pochettino aelezea mchezo wa Tottenham na Bayern Munich
Kocha wa timu ya Tottenham Hotspur, - Mauricio Pochettino amesema kuwa, timu yake ilipoteza ari na kukata tamaa ya mchezo baada ya kuruhusu bao la Nne kwenye kipigo cha mabao Saba kwa mawili ilichopata...
Mtibwa wajipanga kuwadhibiti KCCA ya Uganda Disemba 22
Kocha mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema anatambua kibarua walichonacho cha kupindua matokeo mbele ya Kcca ya Uganda kwenye mchezo wa marudiano wa kombe la shirikisho barani Afrika utakaochezwa kwenye dimba la Chamazi, lakini amekiandaa...
Yanga yaisambaratisha Singida Big Stars
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka ya NBC, Yanga SC wamerejea kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kuipa kichapo cha mabao 4-1 walima alizeti wa Singida Big Stars.Fiston Mayele amerejea kwenye...
Tottenham Hotspurs kuikabili Ajax Amsterdam
Mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya
Mabingwa Barani Ulaya, unachezwa hii leo Kaskazini mwa jiji la London nchini
England.Katika mchezo huo Tottenham Hotspurs
itakuwa nyumbani kukipiga na Wadachi, - Ajax Amsterdam ambao wamekuwa tishio
baada ya...