Liverpool yawanyuka Arsenal

0
Liverpool wamewanyuka Arsenal mabao matatu kwa moja kwenye mchezo uliopigwa kwenye dimba la Anfield.Joel Matip na Mohamed Salah aliyepachika kimiani mabao mawili ndiyo wameipeleka timu yao kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo kwa kuifungia...

Mashindano Basketball Taifa cup yatia nanga

0
Mashindano ya Kikapu kugombea Kombe la Taifa 2019 (Mtaka Basketball Taifa Cup) yamemalizika leo kwa mchezo wa fainali uliochezwa kati ya Arusha na Mwanza ambapo Arusha wameshinda 69 - 47. Mchezo huo ilikuwa ufanyike...

Cristiano Ronaldo na Georgina watarajia Mapacha

0
Mshambuliaji wa Manchester United, Cristiano Ronaldo kupitia ukurasa wale wa Instagram wenye wafuwasi milioni 360 ameweka hadharani kuwa yeye na mpenzi wake Georgina Rodríguez wanatarajia kupata watoto mapacha.Katika ukurasa wake wa Instagram ameandika “Delighted...

Medali ya shaba kupatikana Khalifa

0
Mwonekano wa uwanja wa kimataifa wa Khalifa Doha Qatar ambapo Mbungi ya kutafuta mshindi wa Tatu itapigwa.Ni Morocco kukipiga na Croatia, lazima mshindi apatikane ambaye ataondoka na medali ya shaba.Mtanange huu utakujia mbashara...

Watanzania waitwa kwa Mkapa

0
Serikali, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na wadau wengine leo wamehamasisha watanzania kuiunga mkono Taifa Stars katika michezo yake ijayo dhidi ya DRC na Madagascar na pia kuwaunga mkono Timu ya Taifa...

TUNAENDA COSAFA KUSHINDA SIO KUSHIRIKI- KOCHA WA TANZANITE

0
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' Bakari Shime amesema kuwa wanakwenda Afrika ya Kusini kupeperusha vema Bendera ya Taifa kwenye michuano ya COSAFA inayotarajiwa kufanyika August Mosi...

Arteta: Jesus ameanza mazoezi mepesi

0
Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amethibitisha kuwa Gabriel Jesus ameanza mazoezi ya nje akisubiriwa kwa hamu kurejea kikosini baada ya kukaa nje kwa takribani miezi mitatu.NINI KILITOKEA? Mshambuliaji huyo raia wa Brazil aliumia goti...

Lopetegui atimuliwa Madrid

0
Klabu ya Real Madrid imemtimua kocha wake Julen Lopetegui ikiwa imepita miezi minne na nusu tangu alipopewa kibarua cha kukinoa kikosi hicho.Mhispania huyo alirithi mikoba iliyoachwa na Zinedine Zidane mwezi June mwaka huu, lakini...

DC Sabaya aagiza kuzimwa mwili uliozuiwa KCMC

0
Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ameamuru kuzikwa kwa mwili wa mkazi wa Kijiji cha Nshara, Kata ya Machame Kaskazini, Bauda Nkya (68) baada ya mwili wake kuzuiliwa kuchukuliwa...