50 wanaswa kwenye vifusi baada ya jengo kuporomoka

0
Watu watano wamethibitika kufariki dunia baada ya jengo la ghorofa tano kuporomoka katika mji wa George nchini Afrika Kusini.Habari kutoka nchini Afrika Kusini zinaeleza kuwa zaidi ya watu 20 wamejeruhiwa katika tukio hilo na...

NORDIC watakiwa kuwekeza kwa vijana Afrika

0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki January Makamba amezitaka nchi za NORDIC kutumia fursa za ushirikiano kati yao na Afrika kuwekeza kwenye nguvu-kazi ya bara hilo kwani ndilo lenye idadi...

Australia waandamana kupinga mauaji ya wanawake

0
Maandamano makubwa yamefanyika katika maeneo mbalimbali nchini Australia, kupinga vitendo vinavyodaiwa kuwa ni vya unyanyasaji dhidi ya wanawake ambavyo vimeripotiwa katika siku za hivi karibuni.Taarifa kutoka nchini Australia zinaeleza kuwa tangu mwaka huu uanze...

Mafuriko yachelewesha shule kufunguliwa Kenya

0
Serikali ya Kenya imeahirisha kufunguliwa kwa shule kwa wiki moja zaidi kutokana na mafuriko ambayo yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 80 kufikia sasa.Takwimu zinaonesha kwamba shule nyingi nchini humo zimeathiriwa vibaya na mafuriko,...

Watoa ushauri kuepuka athari za mafuriko

0
Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha, shirika la kutoa misaada kwenye majanga la Msalaba Mwekundu nchini Kenya limetoa ushauri kwa watu ili kuepuka au kupunguza madhara ya mafuriko.Maeneo yaliyoathiriwa zaidi na mafuriko nchini Kenya...

Niko tayari kwa mdahalo na Trump

0
Rais wa Marekani, Joe Biden amesema "atafurahi" kukabiliana na Donald Trump katika mdahalo kabla ya uchaguzi mkuu wa Novemba.Biden alikuwa akijibu swali la Howard Stern wakati wa mahojiano ya saa moja kwenye mtandao wa...

Tanzania na Russia kushirikiana kudhibiti uhalifu

0
Tanzania imedhamiria kushirikiana na Russia katika kudhibiti uhalifu nchini ukiwemo ule wa kimtandao.Kushirikiana huko ni pamoja na kuwajengea uwezo askari wa vyombo vya ulinzi na usalama wa Tanzania kushirikiana na wenzao ambao nchi zao...

Helikopta zagongana na kuua askari 10

0
Askari kumi wa Jeshi la Wanamaji la Malaysia wamefariki dunia baada ya helikopta mbili za Jeshi hilo kugongana.Helikopta hizo zimegongana wakati wa mazoezi ya gwaride la maandalizi ya maadhimisho ya miaka 90 tangu kuanzishwa...

Aokolewa tumboni mwa mama aliyekufa kwa shambulio

0
Sabreen alikuwa amekufa kabla ya kumtazama machoni mwanawe. Mama huyo mwenye umri mdogo alikuwa na mimba ya miezi saba na nusu.Zilikuwa siku zenye hofu ya kila mara, lakini Sabreen alitumaini kwamba bahati ya familia...

Sasa rasmi watafuta hifadhi Uingereza kupelekwa Rwanda

0
Muswada wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak wa kuwapeleka wahamiaji Rwanda unatarajiwa kuwa sheria baada ya miezi mitano ya mabishano baina ya ofisi ya Waziri Mkuu huyo na Bunge.Muswada huo unaielezea Rwanda kuwa...