Majeruhi ajali ya Arusha kutibiwa bila malipo

0
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza majeruhi wote wa ajali iliyohusisha magari manne katika eneo la Ngaramtoni mkoani Arusha waliolazwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa ya...

Mloganzila yaingiza bilioni 8 kwa tiba urembo

0
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imezalisha shilingi Bilioni 8 kwa kufanya tiba urembo ambapo pia wameboresha maeneo mengi ya huduma ikiwemo ununuzi wa vifaa bora na vya...

Khalfan aanza kupatiwa matibabu

0
Siku moja baada ya TBC Digital kuonesha picha ya video ikimuonesha mtoto Khalfan Gideon wa mkoani Kigoma akiomba msaada wa matibabu kwa Rais Samia Suluhu Hassan na Rais kutoa maelekezo kwa Wasaidizi wake kumtafuta...

Kinara wa biashara ya dawa za kulevya anaswa

0
Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini (DCEA) imemkamata mfanyabiashara anayedaiwa kuwa ni Kinara wa mtandao wa biashara ya dawa za kulevya aina ya Cocaine pamoja na kukamata gramu 692.336 za dawa...

KUPANDISHA KODI YA POMBE KUTAPUNGUZA VIFO

0
Shirika la Afya Duniani (WHO) hivi karibuni limetoa taarifa yenye data mpya inayoonesha namna ongezeko la kodi na ushuru katika pombe linaweza kuchangia kupunguza vifo.Shirika hilo limebainisha kuwa nchi nyingi duniani hazitumii mchakato wa...

Uhakika wa matibabu majeruhi wa maafa Hanang 100%

0
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange amewahakikishia majeruhi wa maafa ya maafuriko wanaotibiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tumaini pamoja na vituo vingine vya kutolea huduma wilayani Hanang kuwa upatikanaji wa dawa...

Wajawazito wanaokunywa pombe washtakiwe

0
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa Afrika Kusini, Hendrietta Bogopane-Zulu amesema,Wajawazito wanaokunywa pombe wanapaswa kushtakiwa kwa uhalifu, kutokana na pombe kuathiri ubongo wa mtoto aliye tumboni.Akizungumza wakati wa mafunzo ya kuongeza uelewa juu...

Dkt. Mollel : Tuwasaidie wawekezaji wa bidhaa za Afya badala ya kuweka vikwazo

0
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametoa wito kwa mamlaka na taasisi zinazosimamia bidhaa za afya ikiwemo Dawa, vifaa tiba pamoja na vitendanishi kuwasaidia Wafanyabiashara wa bidhaa hizo kufanya biashara kwa mujibu wa...

Dkt. Mwinyi : Tutahakikisha Wananchi wanapata huduma bora za afya

0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi amesema malengo ya Serikali katika sekta ya afya ni kuhakikisha Wananchi wanapata huduma bora za afya.Dkt.Mwinyi ameyasema hayo wakati akifungua kituo cha...

Ujenzi wa Vituo vya Afya Korogwe Wasuasua

0
Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Tanga kimeeleza kutoridhirishwa na kasi ya ujenzi wa vituo vya afya katika kata za Mnyuzi na Kerenge vilivyopo wilayani Korogwe ambavyo licha ya Serikali kutoa fedha, ujenzi bado...