Ronaldo acheza mchezo wa elfu moja

0
Cristiano Ronaldo amecheza mchezo wa elfu moja tangu aanze kusakata kandanda katika ushindi wa mabao mawili kwa bila waliopata Juventus dhidi ya Inter Milan nchini Italia.Ronaldo alianza maisha yake ya soka katika klabu ya...

Man U yaibamiza Liverpool Old Trafford

0
Wenyeji Manchester United wamepata ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya England msimu huu baada ya kuichapa Liverpool mabao 2-1 Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester.Mabao ya Manchester United yamefungwa na Jadon Sancho dakika...

Dodoma Jiji FC yaona mwezi

0
Dodoma Jiji imepata ushindi wa kwanza Ligi Kuu ya NBC mwaka huu baada ya kufunga Geita Gold FC goli 1-0 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Liti mkoani Singida.Kwa ushindi huo Dodoma imepanda hadi...

Utaratibu mpya wa ununuzi wa Korosho watangazwa

0
Serikali imetangaza utaratibu mpya wa ununuzi wa Korosho, wenye lengo la kuongeza faida kwa Wakulima na kuongeza thamani ya viwanda vinavyobangua korosho hapa nchini.Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Waziri...

Simba SC yachezea kichapo Guinea

0
Simba SC imepoteza mchezo wake wa kwanza wa hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Afrika ikiwa ugenini dhidi ya Horoya AC ya nchini Guinea.Simba ilifungwa goli la mapema ambalo limedumu hadi mwisho wa mchezo,...

EPL: Boxing Day

0
AFC Bournemouth inaikaribisha Arsenal ikiwa chini ya kocha wake mpya nahodha wa zamani wa timu hiyo Mikel Arteta, Arteta atataka kudhihirisha kwamba kibarua alichopewa anakiweza na anauwezo wa kuvaa viatu vya kocha wake wa...

Rais Samia aongeza tiketi 5,000 kuiona Stars

0
Rais Samia Suluhu Hassan ameongeza tiketi alizotoa kwa ajili ya mashabiki kufikia 7,000 kutoka 2,000 za awali.Tiketi hizo zitakazotolewa kwa mashabiki ni sehemu ya hamasa ya Rais kuelekea mchezo wa marudiano kati ya Tanzania...

Yanga yaondoka na dhahabu za Geita Gold FC

0
Yanga SC imeondoka na alama tatu kutoka Uwanja wa CCM-Kirumba, Mwanza baada ya kuwaadhibu matajiri wa dhahabu, Geita Gold FC kwa goli 1-0.Ushindi huo unaimarisha nafasi ya Yanga kileleni ikiwa na alama 45, huku...

Serengeti Girls yafuzu kuingia robo fainali

0
Timu ya wasichana ya Tanzania wenye umri wa chini ya miaka 17 (Serengeti Girls), imefuzu kuingia robo fainali za Kombe la Dunia baada ya kutoka sare ya 1-1 na Canada, katika mchezo wa...

FIFA kuchagua nchi itakayoandaa fainali za kombe la FIFA la dunia 2026

0
Zikiwa zimebaki saa chache kabla ya kuanza kwa fainali za 21 za kombe la FIFA la dunia hii leo Juni 13 wanachama 211 wa shirikisho la soka duniani -FIFA watapiga kura kuchagua nchi itakayoandaa...