Shaibu afungiwa michezo mitatu
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemfungia
michezo mitatu mchezaji wa Yanga, Abdallah
Shaibu maarufu kama Ninja kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa timu ya
Coastal Union ya mkoani Tanga. Afisa Habari wa TFF,
- Clifford Ndimbo...
Simba kumenyana na TP Mazembe na AL-Hilal
Klabu ya Simba ya jijini Dar es salaam imetangaza kufanya mashindano maalum yaliyopewa jina la Simba Super Cup, ambayo pamoja na mambo mengine yataikutanisha timu hiyo na timu ya TP Mazembe kutoka Jamhuri ya...
Kocha mpya wa Yanga atua Dar
Kocha Nasreddine Nabi raia wa Tunisia, ametua rasmi nchini hii leo, tayari kukinoa kikosi cha Yanga.Kocha huyo ametua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere mkoani Dar es salaam...
Salah atangazwa kuwa mchezaji bora wa Afrika 2018
Mshambuliaji wa timu ya Liverpool na timu ya Taifa ya Misri Mohmed Salah ametangazwa na Shirikisho la soka Barani Afrika Caf kuwa mchezaji bora wa mwaka 2018 wa Afrika katika sherehe za utoaji wa...
Liverpool yazidi kuikaba koo Man City
Mohamed Salah usiku wa kuamkia leo amefunga bao lake la 22 tangu kuanza kwa msimu huu, baada ya kuiwezesha timu yake ya Liverpool kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Newcastle United katika...
Man City bingwa Carabao
Timu ya Manchester
City imetwaa kikombe cha Carabao baada
ya kuitandika Chelsea kwa mikwaju ya penati minne kwa mitatu katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la
Wembley .Ndani ya dakika
120, timu hizo hazikuweza kufungana ndipo
mikwaju ya penati ikapigwa.Katika...
Mshindi Ballon D’or kutangazwa leo
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2018 ya Ballon D'or atatangazwa baadaye hii leo katika hafla itakayofanyika jijini Paris nchini Ufaransa.Nahodha wa timu ya Taifa ya Croatia anayechezea Real Madrid, - Luka...
Mechi za nusu fainali ya CHAN kupigwa leo
Michezo ya nusu fainali za michuano ya CHAN mwaka 2021 zitachezwa leo huko nchini Cameroon ambapo washindi watafuzu kucheza fainali Jumapili Februari 7, mwaka huu.Nusu fainali ya kwanza itakuwa baina miamba miwili ya Afrika...
Newcastle yafungwa katika uwanja wake wa nyumbani
Timu ya Newcastle imepoteza mchezo wa nane kati ya kumi na moja waliyocheza ya ligi ya Uingereza kwenye uwanja wake wa nyumbani kwa msimu baada ya kukubali kipigo cha mabao mawili kwa bila kutoka...