AL Ahly sasa kumenyana na Esperance

0
Bingwa wa kihistoria wa ligi ya mabingwa Barani Afrika, - AL Ahly ya Misri imetinga fainali ya ligi hiyo na itamenyana na Esperance ya Tunisia kwenye mchezo wa fainali baada ya usiku wa Oktoba...

Taifa la Argentina Kombe la Dunia 2022

0
Taifa la Argentina linakwenda kwenye fainali za mwaka huu za Kombe la dunia huko Qatar  likiwa  kwenye mikono ya moja ya nyota wakubwa  ulimwenguni  na mshindi mara saba wa tuzo ya mchezaji bora duniani...

Sadio Mane atua Saudia Arabia

0
Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal, Sadio Mane (31) amejiunga na klabu ya Al Nassr ya nchini Saudia Arabia kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea FC Buyern Munich ya Ujerumani.Mshambuliaji huyo wa zamani wa Liverpool...

Lahyani asimamishwa kuchezesha tenisi

0
Muamuzi wa mchezo wa tenisi Mohamed Lahyani raia wa Sweden amesimamishwa kuchezesha mashindano mawili yajayo ya China Open na Shanghai Masters yatakayofanyika mwezi Oktoba mwaka huu baada ya kupatikana na kosa la kumsaidia mcheza...

Dewji amwaga tiketi Mia Tatu kwa mashabiki

0
Kuelekea mpambano wa watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba siku ya Jumapili, Mfanyabiashara maarufu nchini Azim Dewji ameahidi kutoa tiketi mia tatu kwa mashabiki watakaojitokeza siku ya Ijumaa na Jumamosi katika  Taasisi ya Tiba...

Azam yamwekea Mzize milioni 400 mezani

0
Azam FC imewasilisha dau la shilingi milioni 400 kwa Yanga SC ikikusudia kupata saini ya mshambuliaji Clement Mzize.Azam ambayo kwa sasa haina mshambuliaji baada ya kutofautiana na raia wa Zimbabwe, Prince Dube, inatarajia kumsajili...

Man U yapigania ubingwa

0
Kocha wa muda wa timu ya Manchester United, - Ole Gunner  Solskjaer amesema kuwa timu yake haipiganii kumaliza ligi ikiwa kwenye Top 4 bali inapigania ubingwa.Kwa sasa Manchester United ni ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu...

Hatma ya golikipa wa Simba kujulikana leo

0
Afisa Habari Simba SC, Ahmed Ally amesema ripoti ya daktari itakayotolewa leo juu ya majeraha ya golikipa waliyemsajili karibuni kutoka Brazil, Jefferson Luis itaamua kama wataendelea naye au wataingia sokoni kutafuta golikipa mwingine.Ally amesema...

Mwanasoka Nouri azinduka baada kupoteza fahamu kwa miezi 33

0
Kiungo wa timu ya Ajax ya nchini Uholanzi, Abdelhak Nouri aliyeanguka na kupoteza fahamu uwanjani mwezi Julai mwaka 2017, amezinduka.Nouri mwenye umri wa miaka 22, alianguka na kupoteza fahamu baada...

Yanga mmeipa furaha nchi

0
Rais Samia Suluhu Hassan ameipongeza klabu ya Yanga kwa kufanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.Katika ukurasa wake wa Instagrama Rais Samia ameandika”Naipongeza Klabu ya Yanga...