Kansela Angela Merkel ziarani Nigeria

0
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ameanza ziara yake nchini Nigeria ikiwa ni ziara ya mwisho kwa nchi za Afrika Magharibi.Kabla ya kuanza ziara yake nchini Nigeria, Kansela Merkel alikua na ziara katika nchi za...

Bobi Wine azuiliwa kwenda nje ya nchi

0
Mbunge wa upinzani nchini Uganda ambaye pia ni Mwanamuziki Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine anayedaiwa kupigwa na kuteswa baada ya kukamatwa mapema mwezi huu, amezuiliwa kuondoka nchini humo kwenda kupatiwa matibabu nje ya...

Meli za uvuvi za Uingereza na Ufaransa zagongana

0
Meli moja ya uvuvi ya nchini Uingereza imegongana na meli nyingine ya uvuvi kutoka nchini Ufaransa huku wavuvi waliokuwa ndani ya vyombo hivyo vya majini wakitupiana maneno makali na kukaribia kupigana.Wavuvi hao wamekuwa wakigombea...

Miili ya waliouawa yarudishwa Namibia

0
Serikali ya Ujerumani imerudisha mabaki ya miili ya watu wa kabila la Horero kutoka nchini Namibia waliouwa na wakoloni wa Kijerumani katika harakati za kugombea haki nchini mwao wakati wa utawala wa kikoloni.Wanaharakati nchini...

Waliosombwa na maji Myanmar waendelea kuokolewa

0
Waokoaji nchini Myanmar wanaendelea na zoezi la kuwaokoa watu waliosombwa na maji baada ya bwawa moja kubwa nchini humo kupasuka na maji yake kusambaa hovyo hadi katika makazi ya watu.Zaidi ya watu Sitini Elfu...

Marekani na Kenya kukuza biashara

0
Rais Donald Trump wa Marekani amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya mjini Washington na kugusia zaidi masuala ya biashara na usalama.Taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Marekani imesema kuwa ...

Iran yapingana na Marekani kuhusu vikwazo

0
Marekani imesema kuwa mahakama ya kimataifa ya makosa ya uhalifu wa kivita haina uwezo wa kusikiliza kesi ya madai ya kuzuia vikwazo ambavyo nchi hiyo imeiwekea Iran.Iran inataka kuwasilisha madai yake kwenye mahakama hiyo...

Wakili wa Bobi Wine azuiliwa kuingia Uganda

0
Wakili wa kimataifa aliyepewa kazi ya kumwakilisha Mbunge wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda, - Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine amezuiwa kuingia nchini humo.Robert Amsterdam ambaye ni raia wa Canada ameorodheshwa kama mtu...

Mnangagwa aapishwa

0
Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe anayeungwa mkono na jeshi la nchi hiyo ameapishwa kuongoza Taifa hilo baada ya kushinda uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Julai mwaka huu.Rais Mnangagwa ameapishwa na Mwanasheria Mkuu wa...

Scott Morrison Waziri Mkuu mpya Australia

0
Chama cha Liberal nchini Australia kimemteua Scott Morrison kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo kuchukua nafasi ya Malcolm Turnbull ambaye ameondolewa kwa lazima na chama chake.Kutokana na mzozo wa uongozi ndani...