Waliokufa Afghanistan wafikia 68

0
Idadi ya watu waliokufa baaada ya kutokea kwa shambulio la kujitoa muhanga nchini Afghanistan imeongezeka na kufikia 68.Polisi nchini Afghanistan  wamesema kuwa shambulio hilo ambalo limetokea katika jimbo la Nangarhar lililopo karibu na Pakistan...

Sheria mpya kuanza kutumika Morocco

0
Sheria mpya ambayo inafanya vitendo vya unyanyasaji na udhalilishaji wa kijinsia kuwa ni uhalifu itaanza kutumika nchini Morocco hivi karibuni.Sheria hiyo ambayo inajumuisha upigaji marufuku wa ndoa za kulazimishwa,  inafuatia kuongezeka  kwa vitendo  vya...

Mwili wa Annan waagwa Accra

0
Mwili wa aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan unaagwa leo katika mji mkuu wa Ghana, Accra.Mwili wa Annan uliwasili Jumatatu jioni katika uwanja wa ndege wa kimataifa ulioko mjini Accra...

Ajali ya ndege yaua 19 Sudan Kusini

0
Watu 19 wamekufa baada ya ndege ndogo ya abiria kuanguka kwenye ziwa Yirol wakati ikijaribu kutua huko Sudan Kusini.Watu wanne tu, wawili wakiwa watoto wamenusurika katika ajali hiyo.Habari kutoka Sudan Kusini zinasema kuwa wakati...

Syria yashutumiwa kutumia silaha za kemikali

0
Balozi wa Marekani nchini Syria, - Jim Jeffrey amesema kuwa kuna ushahidi wa kutosha kuwa vikosi vya serikali ya Syria vinajiandaa kutumia silaha za kemikali katika mji wa Idlib.Kauli ya Jeffrey inaelekea kufanana na...

Tetemeko la ardhi laikumba Hokkaido

0
Tetemeko kubwa la ardhi limekikumba Kisiwa cha Hokkaido kilichopo Kaskazini mwa Japan na kuharibu makazi ya watu.Vyombo vya habari katika kisiwa hicho vimeripoti kuwa watu wanane wamekufa na wengine arobaini hawajulikani walipo kutokana na...

Askari 10 Sudan Kusini wahukumiwa kifungo jela

0
Mahakama ya Kijeshi ya Sudan Kusini imewahukumu kifungo cha kati ya miaka Saba na maisha jela, askari kumi wa nchi hiyo baada ya kupatikana na makosa ya kuwadhalilisha wafanyakazi wa kigeni wa kutoa msaada...

Pompeo afanya ziara Pakistan

0
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, -Mike Pompeo amefanya ziara ya siku moja nchini Pakistan, ziara yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa nchi hizo mbili.Katika ziara hiyo Pompeo alitarajiwa kukutana na viongozi wa...

Kimbunga Jebi chaikumba Japan

0
Watu kumi wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kimbunga Jebi kuyakumba maeneo mbalimbali nchini Japan.Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Japan imesema kuwa kimbunga hicho ni kibaya kuwahi kutokea nchini...

Keita aapishwa kuiongoza Mali

0
Rais mpya wa Mali Ibrahim Boubcar Keita ameapishwa baada ya kushinda uchaguzi mkuu uliofanyika Agosti 12 mwaka huu.Sherehe za kuapishwa kwa Keita zimefanyika katika viwanja vya Kouluba chini ya ulinzi mkali.Agosti 20 mwaka huu...