Sasa rasmi watafuta hifadhi Uingereza kupelekwa Rwanda

0
Muswada wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak wa kuwapeleka wahamiaji Rwanda unatarajiwa kuwa sheria baada ya miezi mitano ya mabishano baina ya ofisi ya Waziri Mkuu huyo na Bunge.Muswada huo unaielezea Rwanda kuwa...

Mkuu wa Majeshi Kenya afariki kwenye ajali

0
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Kenya JeneraliFrancis Ogolla amefariki dunia kwenye ajali ya helikopta iliyotokea leo nchimi humo.Taarifa ya kifo cha Jenerali Ogolla imetolewa kwa Taifa na Rais William Ruto wa Kenya mara...

Rais Samia awasili Uturuki

0
Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ankara Esenboga nchini Uturuki leo Aprili 17, 2024 kwa ajili ya ziara.Rais Samia amefanya mazungumzo na Waziri wa Familia na Huduma za...

Wanajeshi 50,000 wa Urusi wathibitika kuuawa

0
BBC Urusi, chombo huru cha Habari cha Mediazona na watu waliojitolea wamekuwa wakihesabu idadi ya wanajeshi wa Urusi waliouawa vitani tangu Februari 2022.Makaburi mapya pia yamesaidia kutoa majina ya askari wengi. Timu zetu pia...

Israel yaangusha ndege 300 za Iran

0
Marekani imewapongeza askari wake ambao wametoa msaada kwa vikosi vya Israel kuangusha takribani ndege zote 300 zisizo na rubani na makombora yaliyorushwa na Iran leo Aprili 14, 2024.Pongezi hizo zimetolewa na Rais Joe Biden...

Bilionea Vietnam ahukumiwa kifo kutapeli matrilioni

0
Ilikuwa ni kesi iliyovutia watu wengi Vietnam kutokana na kuhusisha moja ya utapeli mkubwa zaidi dhidi ya benki ambao pengine ni mkubwa kuwahi kutokea duniani.Ndani ya ukumbi wa mahakama ya wazi iliyojengwa enzi ya...

Miaka 30 mauaji ya Kimbari

0
Leo ni maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 30 ya Mauaji ya Kimbari ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi na Wahutu wenye msimamo wa wastani nchini Rwanda. Kwa maadhimisho haya Wanyarwanda wanampa kongole askari wa...

Alama 11 kutambua noti halali

0
Alama iliyofichika kwenye noti inayoonesha sura ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na thamani ya noti ya shilingi 10,000.Alama za vipande vipande zenye kuonesha thamani ya noti ya shilingi 10,000 inapomulikwa kwenye mwanga ambapo tarakimu...

Trump awaita wahamiaji ‘wanyama’

0
Donald Trump amewaita wahamiaji wanaoingia nchini Marekani bila vibali kuwa ni "wanyama" na akasisitiza kwamba "si wanadamu" wakati akitoa hotuba huko Michigan jana.Mbali na maneno yake hayo yaliyochukuliwa kuwa udhalilishaji kwa wanadamu wenzake, mgombea...

Unafahamu nini kuhusu Jumamosi Kuu?

0
Jumamosi Kuu au kwa majina mengine Jumamosi Takatifu, kwa waumini wa dini ya Kikristo ni siku moja kabla ya Jumapili ya Pasaka ambayo ni siku ya mwisho ya Wiki Takatifu.Siku hii ni siku muhimu...