Hofu miongoni mwa Watangazaji yasababisha Kituo cha Redio kufungwa

0
Kituo kimoja cha Redio ya Kijamii katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), ambacho kimekua kikifanya jitihada kubwa za kuhamasisha jamii namna ya kujikinga na ugonjwa wa Ebola kimefungwa, baada ya Mtangazaji wake...

Bouteflika kugombea Urais muhula wa Tano

0
Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria ametangaza kugombea kiti hicho kwa muhula mwingine wa Tano katika uchaguzi utakaofanyika mwezi Aprili mwaka huu.Taarifa iliyotolewa kupitia vyombo vya habari vinavyomilikiwa na serikali imemkariri ...

Atuhumiwa kuchanganya damu yake kwenye vinywaji

0
Mgahawa mmoja nchini Japan umemfukuza kazi mhudumu wake, baada ya kumshutumu kuchanganya damu yake kwenye vinywaji vya aina ya ‘cocktails’ alivyotengeneza.Katika taarifa yake kupitia ukurasa wake wa Twitter, mgahawa huo unaojulikana kwa jina la...

Misri waendelea na maombolezo

0
Wananchi wa Misri wanaendelea na maombolezo ya siku tatu kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Hosni Mubarak, aliyefariki dunia jana Febrauri 25, 2020 akiwa na umri wa miaka 91.Mubarak aliondoka madarakani mwaka 2011...

Kutana na ‘mtu sanamu’ kutoka DRC

0
Mayanda Nzau, maarufu "Mutu Ekeko" (Mtu Sanamu), amejizolea umaarufu mkubwa katika Jiji la Kinshasa nchini Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) kutoka na uwezo wake wa kujigeuza kuwa kama sanamu.Kijana huyu mwenye umri wa...

Maelfu wamuaga Mugabe

0
Viongozi kadhaa wa Afrika waliohudhuria shughuli ya Kitaifa ya kuuaga Mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe,-Robert Mugabe, wamemuelezea Kiongozi huyo kuwa alikua ni Shujaa wa Afrika.Shughuli hiyo imefanyika katika uwanja wa...

Rais Museveni aapishwa

0
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameapishwa kushika rasmi wadhifa huo kwa muhula wa sita.Rais Museveni ameapishwa kushika wadhifa huo kufuatia ushindi wa asilimia 58.64 ya kura zote alizopata kwenye uchaguzi uliofanyika nchini Uganda Januari 14 mwaka...

Rais Samia kufungua mkutano wa Shirika la Utalii Duniani

0
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mkutano wa 65 wa Shirika la Utalii Duniani Kamisheni ya Afrika, utakaoanza tarehe 5 Oktoba 2022 jijini Arusha.Lengo la mkutano huo ni kujadili...

Brazil yatangaza hali ya hatari kutoka na mafuriko yaliyoathiri maelfu

0
BIdadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mafuriko yaliyokuwa yakiambatana na maporomoko ya udongo nchini Brazil imefikia 52.Serikali ya nchi hiyo imetangaza hali ya tahadhari katika maeneo kadhaa nchini humo kutokana na mafuriko hayo,...

Kauli ya Mwalimu Tabichi baada ya kupata Tuzo

0
Mwalimu wa Sayansi kutoka nchini Kenya, -  Peter Tabichi aliyeshinda tuzo ya kuwa Mwalimu bora Duniani na kupatiwa zawadi ya Dola Milioni Moja za Kimarekani, amewataka walimu duniani kote kujitolea, kufundisha kwa moyo na kutotanguliza mbele maslahi...