Waandishi wa habari Myanmar wahukumiwa kifungo jela

0
Mahakama nchini Myanmar imewahukumu waandishi wa habari wawili wa shirika la habari la Reuters kifungo cha miaka Saba jela kila mmoja kwa kosa la kufanya uchunguzi wa siri nchini humo kuhusu mgogoro wa Rohingya.Waandishi...

Rais Xi Jinping afungua mkutano wa FOCAC

0
Rais Xi Jinping wa China amefungua mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa nchi na serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC).Akifungua mkutano huo Rais Xi Jinping amesema kuwa China...

Shambulio la kujitoa muhanga lasababisha shule kuporomoka

0
Kumetokea shambulio la kujitoa muhanga katika ofisi moja ya serikali kwenye mji mkuu wa Somalia, - Mogadishu na kusababisha shule iliyokuwa karibu na ofisi hiyo kuporomoka.Mtu aliyekua kwenye gari amejilipua katika eneo...

Marekani yafuta msaada wa kijeshi kwa Pakistan

0
Marekani imetangaza kufuta msaada wa Dola Milioni 300 za Kimarekani kwa Pakistan kwa madai kuwa nchi hiyo imeshindwa kuyachukulia hatua makundi ya wanamgambo.Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Marekani imesema kuwa nchi hiyo itatumia...

Kansela Angela Merkel ziarani Nigeria

0
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani ameanza ziara yake nchini Nigeria ikiwa ni ziara ya mwisho kwa nchi za Afrika Magharibi.Kabla ya kuanza ziara yake nchini Nigeria, Kansela Merkel alikua na ziara katika nchi za...

Bobi Wine azuiliwa kwenda nje ya nchi

0
Mbunge wa upinzani nchini Uganda ambaye pia ni Mwanamuziki Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine anayedaiwa kupigwa na kuteswa baada ya kukamatwa mapema mwezi huu, amezuiliwa kuondoka nchini humo kwenda kupatiwa matibabu nje ya...

Meli za uvuvi za Uingereza na Ufaransa zagongana

0
Meli moja ya uvuvi ya nchini Uingereza imegongana na meli nyingine ya uvuvi kutoka nchini Ufaransa huku wavuvi waliokuwa ndani ya vyombo hivyo vya majini wakitupiana maneno makali na kukaribia kupigana.Wavuvi hao wamekuwa wakigombea...

Miili ya waliouawa yarudishwa Namibia

0
Serikali ya Ujerumani imerudisha mabaki ya miili ya watu wa kabila la Horero kutoka nchini Namibia waliouwa na wakoloni wa Kijerumani katika harakati za kugombea haki nchini mwao wakati wa utawala wa kikoloni.Wanaharakati nchini...

Waliosombwa na maji Myanmar waendelea kuokolewa

0
Waokoaji nchini Myanmar wanaendelea na zoezi la kuwaokoa watu waliosombwa na maji baada ya bwawa moja kubwa nchini humo kupasuka na maji yake kusambaa hovyo hadi katika makazi ya watu.Zaidi ya watu Sitini Elfu...

Marekani na Kenya kukuza biashara

0
Rais Donald Trump wa Marekani amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya mjini Washington na kugusia zaidi masuala ya biashara na usalama.Taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Marekani imesema kuwa ...