Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa waachiwa huru Ethiopia
Ethiopia imewaachia huru Wafanyakazi wanne wa Umoja wa Mataifa waliokuwa wakishikiliwa na Jeshi la nchi hiyo baada ya Wafanyakazi hao kukiuka taratibu za kuingia katika jimbo la Tigray.Msemaji wa Serikali ya Ethiopia, - Ridhiwan...
Rais wa Venezuela aelezea jaribio la Marekani la kumteka lilivyokwama
Venezuela imeonesha mkanda wa video inayomuonesha mmoja wa askari mamluki raia wa Marekani ambaye ni miongoni mwa askari 13 waliokamatwa baada ya kushindwa kwa shambulio la kigaidi.Katika video hiyo Luke Daenman amekiri kuwa katika...
Masisi wa Botswana atua nchini
Rais Mokgweetsi Masisi wa Botwana amewasili nchini hii leo, kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere mkoani Dar es salaam , Dkt. Masisi amepokelewa na ...
Rais Samia ateta na Diaspora Windhoek
Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Watanzania wanaoishi nchini Namibia (Diaspora).Mazungumzo hayo yamefanyika katika ofisi ya Ubalozi wa Tanzania jijini Windhoek.Dkt. Samia amezungumza na Watanzania hao wanaoishi nchini Namibia mara baada ya...
Majaliwa : Fanyeni mazoezi kujiepusha na maradhi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kujijengea utaratibu wa kufanya mazoezi ya mara kwa mara, ili wajiepushe na maradhi pamoja na kuimarisha afya ya mwili na akili.Waziri Mkuu ametoa rai hiyo mkoani...
AU yaionya Sudan
Baraza la Amani na Ulinzi la Umoja wa
Afrika limeipa Serikali ya Mpito ya Kijeshi ya Sudan muda wa siku 15 uwe
umekabidhi madaraka kwa utawala wa Kiraia, la sivyo nchi hiyo itasimamishwa
uanachama wa Umoja wa...
TRUMP AZIKATAA KARANTINI NEW YORK NA NEW JERSEY
Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kuwa hakuna ulazima wa kuweka karantini ya kujikinga na virusi vya Corona mjini New York na New Jersey badala yake ameelekeza kuwa taarifa za ushauri ziendelee kutolewa kwa wanaotaka ...
Unyanyasaji watoto Waongezeka Duniani
Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya matukio ya 170,000 ya ukiukaji wa haki za binadamu husan kwa watoto yameripotiwa katika kipindi cha miaka 9 kuanzia mwaka 2010-2019 na kwamba matukio ya aina hiyo yanazidi...
Corona yazuia Mahujaji kwenda Saudi Arabia
Saudi Arabia imesimamisha utoaji wa viza kwa mahujaji wanaotaka kwenda kuhiji kufuatia mlipuko wa virusi vya Corona ambavyo vimeendelea kuleta athari katika maeneo mbalimbali duniani.Mahujaji waliokuwa wakitarajia kwenda kutekeleza moja kati ya nguzo za...
Ajifungua watoto pacha akiwa na miaka 73
Mangayamma Yaramati, Mwanamke mwenye umri wa miaka 73 katika jimbo la Andhra Pradesh nchini India, amejifungua watoto wawili pacha wa kike.Wauguzi waliomsaidia Mangayamma kujifungua wamesema kuwa, amejifungua kwa njia ya kuanguliwa kwa...