Rais Samia ahimiza SADC kutengeneza chanjo ya UVIKO-19
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa mataifa yaliyoendelea kuongeza muda wa ulipaji wa mikopo kutokana na uchumi wa mataifa mengi ya Afrika kuathiriwa sana na janga la Ugonjwa wa Virusi vya...
RAIS SAMIA AKISHIRIKI MDAHALO WA KITAIFA KUADHIMISHA MIAKA 100 YA KUZALIWA KWA MWL. NYERERE
https://youtu.be/jZCMV2jL_iw
Ajali ya treni yaua 24 DRC
Watu 24 wengi wao wakiwa watoto wamekufa na wengine Thelathini wamejeruhiwa baada ya treni kuanguka katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.Ajali hiyo imetokea kwenye jimbo la Kasai, ambapo polisi wamesema...
Waangalizi EAC wapongeza uchaguzi Kenya
Waangalizi wa uchaguzi mkuu wa Kenya kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wametoa ripoti yao ya awali inayoonesha kuwa uchaguzi huo ulikuwa huru na wa uwazi.Akitoa ripoti hiyo mbele ya waandishi wa...
Rais Buhari wa Nigeria aanza ziara Afrika Kusini
Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria yuko nchini Afrika
Kusini kwa ziara ya kikazi, ikiwa ni
ziara ya kwanza kwa kiongozi huyo nchini humo tangu Nigeria ilipowarejesha
nyumbani Raia wake Mia Sita waliokuwa wakiishi nchini humo.Buhari amesema kuwa,...
T.B. Joshua kuzikwa Julai 11
Kanisa la aliyekuwa Mhubiri maarufu wa nchini Nigeria, Marehemu Temitope Balogun Joshua, maarufu T.B. Joshua limetangaza kuwa mazishi ya Mhubiri huyo yatafanyika Julai 11 mwaka huu.Taarifa iliyotolewa na kanisa la Sinagogi la mataifa yote...
Baada ya miaka 14, Zuhura Yunus aiaga BBC
Mtangazaji mashuhuri wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Zuhura Yunus leo usiku atatangaza kwa mara ya mwisho kipindi chake cha mwisho katika shirika hilo.Tangu mwaka 2008 baada ya kujiunga na BBC, Zuhura amekuwa...
DKT.TAX: NEMES ALIKUWA MFUNGWA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Stergomena Tax amewataka watanzania wote wanaoishi nje ya nchi kufuata sheria za Tanzania kwa kutojiunga na makundi ya kijeshi kwenye nchi wanamoishi.Dkt. Tax...
Msanii Fulani afariki dunia
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na mwanaharakati wa kutetea haki za wenye Ualbino Babu Sikare maarufu Albino Fulani amefariki dunia.Taarifa za kifo chake zimetolewa na mmoja kati ya marafiki zake wa karibu, msanii...