Jumuiya ya Sharjah yakaribishwa kuwekeza Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein ameikaribisha Jumuiya ya Wafanyabiashara na Wenye Viwanda ya Sharjah kuzichangamkia fursa za uwekezaji zilizopo Zanzibar.Dkt Shein ametoa kauli hiyo Ikulu mjini...
Shirika la Utangazaji Tanzania-TBC lapata Tuzo
Katika sikuu ya uzinduzi rasmi ya Maonesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara yaliozinduliwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan jijini Dar es Salaam, Shirika la Utangazaji Tanzania ‘TBC’ limepata Tuzo ya “wahabarishaji...
MCB yaanzisha huduma ya mikopo ya dharura
Mkuu wa kitengo cha ukuzaji biashara na masoko wa benki ya MCB Valence Luteganya (wa tatu kushoto) akiongea na waandishi wa habari katika uzinduzi wa huduma mpya ya benki hiyo ya Mikopo ya dharula.Benki...
China na Marekani zaendeleza vita ya kibiashara
China imesema kuwa italipiza kisasi kwa kutoza ushuru wa dola bilioni sitini za Kimarekani kwa bidhaa za kutoka Marekani, baada ya rais Donald Trump kutangaza kiwango cha ushuru wa ziada kwa bidhaa zinazoingia kutoka...
Sayari inayofanana na Dunia yagunduliwa
Shirika la Anga za Juu la Marekani (NASA) Jumanne wiki hii limegundua Sayari nyingine yenye ukubwa sawa na Sayari ya Dunia inayoitwa TOI 700e.TOI 700e inalingana na Dunia kwa asilimia 95 na sehemu...
NEEC yatakiwa kuwasaidia vijana
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira Anthony Mavunde amelitaka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) kuhakikisha linawasaidia vijana nchini kushiriki katika uchumi wa viwanda...
ATCL yasitisha safari za ndege kwenda Mumbai
Kampuni ya ndege Tanzania (ATCL) imesitisha safari zake za ndege kati ya Dar es salaam na Mumbai nchini India kuanzia hii leo, hadi hapo itakapotolewa taarifa nyingine.Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Mkurugenzi...
CRDB kuwafikiria wachimbaji wadogo
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, - Abdulmajid
Nsekela amesema kuwa kwa muda mrefu
imekua ni vigumu kuwakopesha wachimbaji wa madini nchini kutokana na wachimbaji
hao kutokuwa na makazi ya kudumu.Nsekela ametoa kauli hiyo jijini Dar es...
Tanzania na Marekani kukuza uhusiano wa kibishara
Tanzania na Marekani zimetiliana saini makubaliano ya Itifaki ya maboresho ya usafiri wa anga kwa lengo la kufungua soko la safari za ndege za abiria na mizigo, ili kupanua fursa za kiuchumi na ajira.
Waziri wa...