Taasisi za Kibenki zatakiwa kutoa huduma bora
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Dkt Bernard Kibesse, amezitaka Taasisi za Kibenki kutoa huduma bora zenye ushindani ili kuinua uchumi wa Taifa.Naibu Gavana Kibesse ameyasema hayo jijini Dar es salaam wakati...
Mafia yatakiwa kuandaa mazingira ya uwekezaji wa Utalii
Naibu Waziri wa
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula, ameitaka halmashauri ya wilaya ya Mafia mkoani
Pwani kuandaa mazingira ya kupokeaWawekezaji
katika sekta ya utalii kwa kupanga na kupima maeneo yake.Dkt Mabula ametoa
kauli hiyo...
Mtanzania apata madini ya Tanzanite ya bilioni 7.8
Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila amesema kuwa leo wizara inamtabua mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite, Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata mawe makubwa mawili yenye thamani ya shilingi bilioni...
Ghana yahofia vitisho vya EU
Serikali ya Ghana imepiga marufuku
usafirishaji wa mboja za aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na bilinganya na
pilipili kutoka nchini humo kwenda nchi
za nje, kwa hofu kuwa zinaweza zikawa na
wadudu waharibifu wa mazao.Taarifa iliyotolewa na Wizara...
Tani 22 za samaki zasafirishwa kwenda Ubelgiji
Wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini wametakiwa kubadilika kuendana na maboresho yanayofanyika katika viwanja vya ndege nchini ili kukidhi viwango vya kimataifa vya huduma za usafirishaji.Wito huo umetolewa na mkuu wa mkoa wa Mwanza,...
Kenya walia na kupanda gharama za maisha
Wananchi nchini Kenya wamesema serikali mpya itakatoundwa baada ya uchaguzi mkuu wa Rais utakaofanyika mwezi Agosti mwaka huu itakuwa na jukumu kubwa la kutatua matatizo ya wananchi ikiwemo kupanda kwa gharama za maisha.Wananchi hao...
Serikali kuwasaidia wawekezaji wa viwanda
Waziri wa Viwanda na Biashara, Profesa Kitila Mkumbo amesema atakaa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ili kwa pamoja watatue changamoto za viwanda vinavyozalisha bidhaa kwa...
Mercedes – Benz wazindua gari linalotumia umeme pekee
Kampuni ya kuunda magari kutoka nchini Ujerumani ya Mercedes - Benz, imezindua gari jipya linalotumia nishati ya umeme peke yake lililopewa jina la EQXX.Gari hilo lina uwezo wa kutembea umbali wa maili 620, baada...
Miradi 526 imesajiliwa nchini mwaka 2023
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango amesema kwa mujibu wa takwimu za Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) miradi 526 yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 5.7 ilisajiliwa nchini kwa mwaka 2023, ikilinganishwa na...
Nywele za binadamu kutumika kusafisha mazingira
Taasisi isiyo ya kiserikali inayofahamika kama Dung Dung imekuja na mfumo wa kusafisha mazingira kwa kutumia nywele za binadamu.Taasisi hiyo imeanzisha mpango unaojulikana kama 'hair recycle project' ambapo vipande vya nywele hukusanywa kutoka kwa...