China na Marekani zaendeleza vita ya kibiashara

0
China imesema kuwa italipiza kisasi kwa kutoza ushuru wa dola bilioni sitini za Kimarekani kwa bidhaa za kutoka Marekani, baada ya rais Donald Trump kutangaza kiwango cha ushuru wa ziada kwa bidhaa zinazoingia kutoka...

Selous kubaki kwenye Urithi wa Dunia

0
Tanzania imeshinda katika utetezi wake ilioutoa kwenye Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO),  ambapo shirika hilo lilitaka kuliondoa pori la akiba la Selous kwenye orodha ya Urithi wa Dunia....

Hifadhi ya Taifa ya Serengeti yaibuka kidedea Afrika

0
Kamishna Msaidizi Mwanadamizi wa Uhifadhi - Mawasiliano, Pascal Shelutete amesema Hifadhi ya Taifa ya Serengeti imeibuka na ushindi huo baada taasisi ya World Travel Awards (WTA) ya nchini Marekani kuzishindanisha hifadhi mbalimbali kwa njia...

Wajasiriamali kupatiwa mikopo yenye masharti nafuu

0
Serikali imesema itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji kwa kuwapatia mikopo yenye masharti nafuu kina mama na vijana. Akizungumza mjini Arusha katika hafla ya kukabidhi mikopo isiyokuwa na riba kwa kina mama wajasiliamali Waziri Nchi...

Serikali yanunua Tanzanite ya mabilioni kutoka kwa mchimbaji mdogo

0
Serikali leo imekabidhiwa mawe mawili makubwa ya madini ya Tanzanite yaliyochimbwa na mchimbaji mdogo, Saniniu Laizer.Madini hayo yamekabidhiwa huko Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa Waziri wa Madini Doto Biteko kwa niaba ya serikali...

Serikali kuendelea kurahisisha Biashara za mipakani

0
Wizara ya Viwanda na Biashara imeweka utaratibu maalumu utakaowawezesha Wafanyabiashara katika maeneo ya mipakani kutoa taarifa juu ya vikwazo, changamoto au kero za kibiashara hasa zile zisizokuwa za kikodi wanazokutana nazo.Taarifa iliyotolewa...

TRA yakusanya trilioni 18

0
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi trilioni 18.14 kwa mwaka wa fedha 2020/21 ikiwa ni wastani wa shilingi trilioni 1.51 kwa mwezi.Katika robo ya mwisho ya mwaka huo wa fedha...

Nakufahamisha tu! Miaka 25 ya NMB ni leo

0
Benki ya NMB leo inatimiza miaka 25 tangu kuanzishwa kwake, ikiwa imeanzishwa kwa Sheria ya Bunge ya ‘The National Microfinance Bank incorporation Act ya mwaka 1997 baada ya kugawanywa iliyokuwa benki ya Taifa ya...

Madalali wapigwa stop kupewa vibanda Samunge

0
Serikali Mkoani Arusha imetoa utaratibu wa kugawa upya Vibanda vya biashara katika soko la Samunge lililoungua kwa moto mwishoni mwa mwezi machi na kuonya madalali kutopewa vibanda kwa ajili ya kupangishia Wafanyabiashara wadogo.Mkuu wa...