Siku saba kutoa majibu chanzo cha moto Soko la Kariakoo

0
Waziri Mkuu Kaasim Majaliwa ameipa siku saba za awali tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha moto katika soko la kimataifa la Kariakoo ili kubaini nini kimesababisha au nani kasababisha moto huo.Ametoa kauli leo (Jumapili Julai...

ATCL yaandaa safari maalum kwa wafanyabiashara

0
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeandaa safari kwa wafanyabiashara wazawa itakayofanyika Machi 4 mwaka huu kwenda Mumbai, India kwa ajili ya kukuza biashara baina ya Tanzania na nchi hiyo.Akizungumza na waandishi wa habari...

Mfumuko wa bei nchini umedhibitiwa

0
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango amesema mfumuko wa bei nchini umeendelea kudhibitiwa ambapo kwa kipindi cha Julai hadi Desemba mwaka 2023 ulifikia wastani wa asilimia 3.2, kiwango ambacho kipo ndani ya lengo la...

Kiwanda cha Maji cha Mkwawa chazinduliwa

0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye anaendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Iringa, leo amezindua kiwanda cha maji cha Mkwawa cha Mjini Iringa na kuzungumza na Viongozi na Wafanyakazi wa kiwanda hicho, pamona na...

Treni Kutoka Tanzania Kwenda Zimbabwe

0
https://www.youtube.com/watch?v=IIhWNE4aspw&feature=youtu.beTreni ya kwanza yenye mabehewa 22 na Tani zaidi ya Elfu Moja za mahindi yaliyouzwa na Tanzania kwa Serikali ya Zimbabwe imeondoka kuelekea Harare, huku ikielezwa kuwa, Tani zaidi zitaendelea...

Tusifanye siasa kwenye mfumuko wa bei

0
Mbunge wa Mvumi Livingstone Lusinde amsema kusiwepo na siasa kwenye suala la mfumuko wa bei na badala yake ameshauri Serikali itumie njia sahihi ya kushughulikia suala hilo.Lusinde amesema Wananchi wengi hasa wa maeneo...

BLUE PRINT ITARAHISISHA UFANYAJI BIASHARA TANZANIA: TPSF

0
Mwenyekiti wa sekta Binafsi hapa nchini –TPSF Salum Shamte amesema, serikali ya awamu ya Tano chini ya uongozi wa Rais John Pombe Magufuli inafanya vizuri katika kuweka mazingira mazuri ya kufanya biashara hapa nchini.Akihutubia...

Vunja Bei agawa vyombo kwa watumishi wa MUHAS

0
Shija Kamanija 'Vunja Bei' ametoa zawadi ya vyombo kwa wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS)Huu umekuwa ni mwendelezo wa zoezi lake la kugawa vyombo katika taasisi za Serikali kati yao...

Serikali kuendelea kuwalinda Wawekezaji

0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa, Serikali itahakikisha inawalinda Wawekezaji  na kulinda bidhaa zao ili waweze kupata soko nchini na nje ya nchi.   Waziri Mkuu Majaliwa ametoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti  wilayani Kibaha mkoani...