Dube awaaga Azam, afuta picha zote

0
Mwanamfalme, Prince Dube ametangaza rasmi kuondoka Azam FC akieleza kuwa miaka minne aliyowatumikia matajiri wa Dar es Salaam imebeba historia kubwa kwenye maisha yake ya soka."Nikielekea kuanza ukurasa mpya, ninaondoka nikiwa na mafunzo niliyoyapata...

Droo ya mashindano makubwa Afrika Machi 12

0
Droo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2023/2024 na Kombe la Shirikisho Afrika itafanyika Machi 12, 2024.Droo hiyo itafanyika Cairo, Misri ambapo droo ya Kombe la Shirikisho Afrika itaanza kuchezeshwa saa nane...

Mashabiki wa Arsenal leo mnaamka saa ngapi?

0
Arsenal imeendelea kuonesha kuwa inalitaka taji la Ligi Kuu ya England msimu huu ambapo imeendelea kutoa kipigo kwa kila timu inayokutana nayo, tena kwa idadi kubwa ya magoli.Katika mchezo wake wa mwisho iliyocheza dhidi...

Je, Prince Dube anakwenda Simba au Yanga?

0
Baada ya mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube kuandika barua akitaka kuvunja mkataba na matajiri hao wa Dar es Salaam, tetesi za wapi atakapokwenda zimekuwa nyingi.Baadhi ya mashabiki na wanazi wa soka kupitia mitandao...

Viwango vya ubora vya FIFA kwa timu za wanaume

0
Michuani ya AFCON iliyomalizika mapema mwezi huu imekuwa na mchango mkubwa kwa baadhi ya timu kupanda katika viwango vya FIFA kutokana na ubora wa timu hizo kwenye mashindano hayo.Nigeria ambayo ilifika hatua ya fainali...

Yanga: Tunaitaka fainali ya Ligi ya Mabingwa

0
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amesema lengo lao baada ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ni kufika hatua ya fainali ya mashindano hayo.Kamwe amesema hayo leo...

Tanzania yapanda viwango vya FIFA

0
Tanzania imepanda kwa nafasi mbili katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA) kwa wanaume, kutoka nafasi ya 121 iliyokuwepo Desemba 2023 hadi nafasi ya 119 Februari 2024.Kwa Afrika, Tanzania inashika...

Robo fainali ni kawaida kwa Simba

0
Afisa Habari wa Simba SC, Ahmed Ally amesema kuwa kufuzu hatua ya robo fainali kwa timu hiyo ni jambo la kawaida, na sio sherehe kama zinavyofanya timu nyingineAmesema Simba imejipanga kushinda mechi yao dhidi...

Yanga mmeipa furaha nchi

0
Rais Samia Suluhu Hassan ameipongeza klabu ya Yanga kwa kufanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.Katika ukurasa wake wa Instagrama Rais Samia ameandika”Naipongeza Klabu ya Yanga...

Ali Kamwe yupo salama

0
Ukurasa rasmi wa klabu ya Yanga umechapisha picha zinazomuonesha afisa habari wa klabu hiyo Ali Kamwe pamoja na viongozi na baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiwa hospitalini.Kupitia ukurasa huo klabu ya Yanga imeeleza kuwa...