Magari yaonja Fly over Tazara

0
Magari yameanza kupita katika daraja la juu – Fly over eneo la TAZARA wilayani Ilala katika jiji la Dar Es Salaam. Wakazi wa jiji hilo waliopata fursa ya kutumia barabara hiyo wameelezea furaha yao wakipongeza...

Mkutano wa 12 wa Bunge waahirishwa

0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kudumisha amani, umoja na mshikamano wa kitaifa, kwa kuwa ndio mambo muhimu kwa Taifa kukua kiuchumi.Akiahirisha mkutano wa 12 wa Bunge jijini Dodoma, Waziri Mkuu Majaliwa...

Mnada wa mifugo Pugu Mnadani kuhamishwa

0
Serikali imewaruhusu wakazi wa Pugu Mnadani eneo la Bangulo jijini Dar es salaam kuendelea kuishi katika eneo hilo, na hivyo kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu katika eneo hilo.Msimamo huo umetolewa leo na...

Ujangili Selous bado ni tatizo

0
Pori la akiba la Selous bado linakabiliwa na changamoto ya ujangili ambapo kwa mwaka 2016/2017 jumla ya kesi 92 zilifunguliwa, zilizoripotiwa na mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori nchini (TAWA).Akizungumza na vyombo vya habari  mkuu...

Serikali kupunguza kodi vifaa vya madini

0
Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo amesema serikali inaangalia uwezekano wa kupunguza kodi katika vifaa na mitambo ya kuongeza thamani ya madini, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kushawishi wadau mbalimbali kuwekeza katika uongezaji...

Samia kuzindua ‘Tamasha la Urithi’

0
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya Rais Dkt.John Magufuli anatarajiwa kuzindua maadhimisho ya Tamasha la Urithi la Kitaifa jijini Dodoma, linaloandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii.Akizungumza na Waandishi wa habari...

Tanzania yafanikiwa kudhibiti dawa za kulevya kwa asilimia 90

0
Kamishna wa Huduma za Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini Valite Mwashusa amesema Tanzania imefanikiwa kudhibiti matumizi na usambazaji wa dawa za kulevya kwa asilimia 90. Kamishna Mwashusa ameyasema hayo jijini Dar Es Salaam alipokuwa...

Polisi anayenyanyasa raia kukiona

0
Serikali imesema itamchukulia hatua za kisheria askari polisi  atakayebainika kufanya vitendo vya unyayasasi dhidi ya watu wanaowakamata kwa tuhuma mbalimbali.Akizungumza bungeni jijini Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.Kangi Lugola amesema kutokana na...

Makato mikopo ya Wanafunzi yafanyika kisheria

0
Serikali imesema kuwa haijavunja mkataba wowote na wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu bali makato ya asilimia 15 kutoka kwenye mshahara ghafi wa mnufaika wa mkopo huo ni ya kisheria.Kauli hiyo ya serikali...

Walioapishwa wapewa maagizo

0
Rais John Magufuli amewaapisha viongozi watatu aliowateua hivi karibuni.Hafla ya kuapishwa kwa viongozi hao imefanyika katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri...