Professor Jay afungua Studio muziki

0
Mbunge wa Mikumi ambaye pia ni msanii wa muziki wa Bongo Fleva na Hiphop Professor Jay amethibitisha kukamilika kwa studio ya muziki Mikumi.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Professor Jay amepandisha video fupi inayoonesha studio...

Poland yashinda taji la Miss World

0
Karolina Bielawska (23) kutoka Poland, ameshinda taji la shindano la urembo la dunia ‘Miss World 2021’.Karolina amepokea taji hilo kutoka kwa Toni-Ann Singh kutoka Jamaica, mrembo aliyeshikilia taji hilo kwa muda...

Mahakama yatengua hukumu ya AY na Mwana FA

0
Mahakama Kuu imetengua hukumu iliyoamuru wanamuziki Hamisi Mwinjuma (Mwana FA) na Ambwene Yesaya (AY), kulipwa Shilingi Bilioni 2.1 na kampuni ya simu za mkononi ya Tigo baada ya kampuni hiyo kukiuka sheria za hakimiliki.Jaji...

Zuchu: Tuzo ya AFRIMMA ni chachu kwenye muziki wangu

0
Mwanamuziki wa kizazi kipya cha Bongo Fleva Zuhura Othman maarufu Zuchu amesema tuzo ya AFRIMMA ya Mwanamuziki Bora Chipukizi Afrika aliyoshinda ni kielelezo tosha kwamba muziki wake unatazamwa ulimwenguni hivyo amewaomba Watanzania kuendelea...

Waziri Bashungwa atembelea kambi za mabondia

0
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa, Naibu Waziri wa wizara hiyo Abdallah Ulega pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Yusuph Singo leo Desemba 24, 2020...

Wafundisheni Vijana Mila na Desturi za Makabila : Naibu Waziri Shonza

0
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza ametoa wito kwa Wadau mbalimbali kuandaa matamasha ya kufundisha vijana maadili, mila na desturi nzuri.Naibu Waziri Shonza ametoa wito huo wilayani Mbulu...

Rihanna amwagana na Hassan Jameel

0
Mwanamuziki Robyn Fent maarufu kama Rihanna au Badgalriri  ameachana na Bilionea kutoka Saudi Arabia, Hassan Jameel baada ya wawili hao kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa takribani miaka mitatu.Kwa mujibu wa ripoti za baadhi ya...

Jux kukiwasha Kigoma

0
Mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya katika miondoko ya RnB, Juma Musa almaarufu Jux anatarajia kufanya show ya muziki mkoani Kigoma.Jux ambaye anatamba na nyimbo zake maarufu ukiwemo Uzuri Wako, Nitasubiri ,...