Ujenzi wa barabara ya Makongo Juu wazinduliwa
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, - Paul Makonda, amezindua ujenzi wa barabara ya Makongo Juu kwa kiwango cha lami na kusema kuwa, ujenzi huo utakamilika ndani ya kipindi cha mwaka...
Jeshi Lebanon laanza kuondoa vizuizi vya Waandamanaji
Jeshi la Lebanon limeingia katika mitaa mbalimbali ya mji mkuu wa nchi
hiyo Beirut, - kuanza kutoa vizuizi vya barabarani vilivyokuwa vimewekwa na Waandamanaji na kutatiza usafiri wa barabara.Waandamanaji nchini Lebanon wamerejea katika mitaa ya...
China yafuta rasmi Muswada Tata
Serikali ya China imefuta rasmi muswada uliowasilishwa nchini humo, wa kuwapeleka watuhumiwa kutoka katika kisiwa cha Hong Kong katika Bara ya China kushitakiwa, hali iliyosababisha maandamano makubwa katika kisiwa hicho.Kwa zaidi ya...
Rais Magufuli ataka Watendaji wa Kata kuthaminiwa
Rais John Magufuli amesema kuwa, kiongozi yeyote ambaye amekua hawajali na kuwathamini Watendaji wa Kata hatoshi katika nafasi aliyonayo.Rais Magufuli ametoa kauli hiyo Ikulu jijjni Dar es salaam wakati wa mkutano wake na Watendaji...
YANGA YAZINDUA JEZI MPYA KWA KISHINDO DAR
Klabu ya soka ya Yanga
ya Jijini Dar ea salaam kwa kushirikiana na kampuni ya GSM, leo wametambulisha
jezi rasmi za timu hiyo watakazozitumia msimu wa 2019/20.Hafla hiyo ya utamburisho wa jezi hizo mpya imefanyika leo...
SERIKALI KUENDELEA KUPELEKA UMEME VIJIJINI NA KWA TAASISI ZA UMMA
Serikali imesema kipaumbele cha kupeleka umeme vijijini ni kwa taasisi za umma pamoja na miradi mbalimbali ya maendeleo inayohudumia wananchi.Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kalemawe, wilayani Same, muda mfupi baada ya kuwasha rasmi...
Polisi Kenya yakamata Dola Milioni 20 Bandia
Jeshi la Polisi nchini Kenya
linawashilikia watu Sita baada ya kukamata zaidi ya Dola Milioni 20 za Kimarekani ambazo ni
bandia katika tawi moja la benki ya Barclays lililopo jijini Nairobi.Katika taarifa yake,
Mkurugenzi wa Upelelezi wa...
Dkt Rioba awatakia heri wanawake TBC
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt Ayub Rioba akizungumza
na wanawake wafanyakazi wa TBC ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya
wanawake duniani na kusema kuwa shirika hilo linawathamini wanawake na hata
kuwakabidhi...