Trump kuwania tena urais

0
Aliyekuwa Rais wa 45 wa Marekani, Donald Trump ametangaza kuwania kwa mara nyingine nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika mwaka 2024.Trump ametangaza kuwa atawania tena kiti hicho ili aliongoze Taifa hilo kwa mara...

Dkt Mahera: Viti Malum Chadema ni halali

0
Akizungumza Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa uchaguzi wa tume ya taifa ya uchaguzi NEC, Dkt. Wilson Mahera Charles amesema Katibu Mkuu wa CHADEMA aliiandikia barua Tume ya taifa ya Uchaguzi tarehe 19...

TACAIDS: Wanawake wanaongoza kwa maambukizi ya UKIMWI

0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI duniani inayotarajiwa kufanyika Disemba Mosi mkoani Kilimanjaro.Wakati siku hiyo ikiadhimishwa kwa lengo la kukuza uelewa juu ya ugonjwa huo na...

Rais Samia: Tutumie takwimu kuboresha maisha ya Watanzania

0
Idadi ya watu nchini imeongezeka kwa asilimia 3.2 kwa miaka 10 iliyopita kutoka watu 44,928,923 mwaka 2012 hadi kufikia watu 64,741,120 mwaka 2022, ikiwa ni ongezeko la watu 19,812,197.Takwimu hizo zimetolewa leo na Rais...

Refa amvumilia Kudus licha ya kuvua fulana kutoa heshima kwa Atsu

0
Mohammed Kudus hakupewa kadi ya njano kama sheria za FIFA zinavyotaka baada ya kuvua fulana yake na kuonesha fulana ya ndani iliyokuwa na maneno 'R.I.P ATSU' ikiwa ni heshima kwa Christian Atsu, raia mwenzake...

Bangi, mirungi bado tatizo nchini

0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na na Uratibu George Simbachawene amesema serikali imeendelea kupambana na tatizo la uzalishaji, matumizi na biashara ya dawa za kulevya nchini.Akizungumza na waandishi wa...

Wanafunzi wachunguzwa kwa vitendo vya ngono shuleni

0
Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke mkoani Dar es salaam, - Lusubilo Mwakabibi amesema Wanafunzi wanne wa shule ya msingi Toangoma wanachunguzwa kufuatia  tuhuma za utovu wa nidhamu na ukiukaji wa maadili ya shule.Akitoa taarifa hiyo kwa Waandishi wa habari...

Walioomba mikopo HESLB watakiwa kufanya marekebisho

0
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa muda wa siku nne kwa Wanafunzi takribani elfu tatu walioomba mikopo kwa mwaka wa masomo wa 2021/2022 kufanya marekebisho, ...

Waliochanjwa kupewa vyeti vya kielektroniki

0
Wizara Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeeleza kuwa inaendelea na utaratibu kwa kuandaa mfumo wa kielektroniki wa vyeti vya chanjo dhidi ya UVIKO-19 (COVID-19 Vaccine Electronics Certificates), vitakavyokidhi vigezo vya kimataifa...