CDF Mkunda: JKT itaendelea kukuza uchumi

0
Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Jacob Mkunda amesema Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) limeendelea na shughuli za uzalishaji mali wa faida, ili kuipunguzia serikali gharama ya...

Graphite kuanza kuchimbwa Ruangwa

0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali ipo katika majadiliano na kampuni ya Uranex kwa ajili ya ujenzi wa mgodi wa madini ya bunyu (graphite) utakaoanza hivi karibuni.Waziri Mkuu Majaliwa amesema kuwa wananchi wa wilaya...

TMDA kufanya utafiti wa Viagra

0
Mamlaka  ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), imesema kuwa inafanya utafiti wa Dawa za nguvu za kiume aina ya Viagra  kwa kuangalia matumizi yake kwa ukubwa na yapo kwa kiasi gani ili waweze kutoa...

Chipeta Balozi wa Tanzania The Hague

0
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Caroline Chipeta kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague nchini Uholanzi.Balozi Chipeta alikuwa Mkurugenzi wa kitengo cha Sheria wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

21 wasimamishwa kazi tukio la kuungua ghala

0
Mkuu wa mkoa wa Tanga, Omary Mgumba amewasimamisha kazi watumishi 21 mkoani humo kwa tuhuma za kuhusika na hujuma katika tukio la moto lililochoma ghala la kuhifadhi bidhaa za magendo kwenye...

Hoja za Muungano kuendelea kushughulikiwa

0
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imewahakikishia wananchi kuwa bado inaendelea kushughulikia hoja za Muungano.Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa upande serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar...

Abbas Mtemvu Mwenyekiti mpya CCM Dar

0
Abbas Mtemvu amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dar es Salaam.Mtemvu amepata kura 444 na kumshinda mpinzani wake wa karibu Kate Kamba ambaye alikuwa akitetea kiti hicho.Wengine walioshiriki katika...

Dkt. Samia aomboleza kifo cha balozi Mushi

0
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza kusikitishwa na kifo cha Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine Mushi.Dkt. Samia amesema Tanzania imeondokewa na Mwanadiplomasia mahiri na mtumishi makini wa umma.Balozi Mushi pia alikuwa mwakilishi wa Kudumu...

TMA : Hakuna madhara ya kimbunga Freddy

0
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema, inaendelea kufuatilia kwa kina mwenendo wa kimbunga Freddy na itatoa taarifa kuhusu kimbunga hicho pindi kutakapokuwa na haja ya kufanya hivyo.Taarifa iliyotolewa na TMA kwa vyombo...

Miaka 62 ya Red Cross katika jamii

0
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushiriki katika maadhimisho ya miaka 62 ya kazi ya kuhudumia watanzania inayofanywa na Shirika la Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS), yatakayofanyika Mei 11, 2024 mkoani Dodoma.Siku hiyo pia itatumika kutambua...