Dola Mil 5 kuwekezwa hospitali ya Tanzanite

0
Kampuni ya ES Healthy Care Centre ya nchini india inayojishughulisha na masuala ya afya ina mpango wa kuwekeza Dola Milioni tano za Kimarekanikwa ubia na hospitali ya Tanzanite iliyopo jijini Mwanza.Hayo yamebainika wakati ujumbe...

Aaangukiwa na ukuta na kufariki dunia

0
Mtu mmoja amefariki dunia na mwingine amejeruhiwa baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba waliyokuwa wakiishi katika kijiji cha Mbolibolitarafa ya Pawaga, kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Iringa.Mvua hizo pia zimesababisha kaya 140...

BMH yapongezwa kwa ubora wa huduma

0
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeipongeza menejimenti na uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa ubora wa huduma.Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa...

TBC NA SHIRIKA LA FRANKFURT KUSHIRIKIANA

0
Baadhi ya Viongozi wa Shirika la Kimataifa la uhifadhi la Frankfurt Zoological Society wametembelea Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) na kufanya mazungumzo na uongozi wa shirika hilo.Frankfurt Zoological Society ni shirika linalojishughulisha na...

Chuo cha bahari kuzalisha baharia Wanawake

0
Mkurugenzi wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam, Tumaini Gurumo amesema chuo hicho kimetoa fursa kwa Wanawake kujifunza masomo ya ubaharia bila vikwazo.Amesema wameamua kufanya hivyo baada ya kubaini kuwa idadi ya Mabaharia Wanawake...

Bandari Kavu Kwala kutumika Kimataifa

0
Meneja Miliki wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Alexander Ndibalema amesema eneo la Bandari Kavu ya Kwala iliyopo mkoani Pwani lenye ukubwa Hekta 502 limefanyiwa mpango wa matumizi ya ardhi na kutenga...

Khalfan aanza kupatiwa matibabu

0
Siku moja baada ya TBC Digital kuonesha picha ya video ikimuonesha mtoto Khalfan Gideon wa mkoani Kigoma akiomba msaada wa matibabu kwa Rais Samia Suluhu Hassan na Rais kutoa maelekezo kwa Wasaidizi wake kumtafuta...

Mhandisi aondolewe, mkandarasi asipewe kazi nyingine

0
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameagiza kuondolewa kwa Mhandisi Mshauri, LEA Associaties, anayesimamia ujenzi wa barabara ya Kitai - Lituhi sehemu ya Amani Makoro-Ruanda (km 35) kwa kiwango cha lami na kuutaka Wakala wa...

Kinara wa biashara ya dawa za kulevya anaswa

0
Mamlaka ya Kupambana na Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini (DCEA) imemkamata mfanyabiashara anayedaiwa kuwa ni Kinara wa mtandao wa biashara ya dawa za kulevya aina ya Cocaine pamoja na kukamata gramu 692.336 za dawa...

102 wafutiwa matokeo form IV

0
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limewafutia matokeo watahiniwa 102 waliofanya udanganyifu wakati wa mtihani wa Taifa wa kidato cha nne uliofanyika mwezi Novemba mwaka 2023.Akitangaza matokeo hayo Katibu Mtendaji wa NECTA Dkt. Said...