Msalaba Mwekundu waadhimisha miaka 62

0
Sherehe za maadhimisho ya miaka 62 ya Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) kitaifa zinafanyika jijini Dodoma ambapo wanachama wa chama hicho kutoka mikoa mbalimbali nchini wamehudhuria katika maadhimisho hayo.Chama hicho huisaidia serikali katika...

Majaliwa ashiriki mbio za Tulia Marathon

0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 11, 2024 ameshiriki katika tukio la mbio za Mbeya Tulia Marathoni 2024 zilizoandaliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Tulia Trust. Mbio hizo zimeanzia na kuishia kwenye uwanja...

Kinana ndani ya maktaba iliyobeba historia ya nchi

0
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ameonesha kuvutiwa kuona makala za video na sauti zilizobeba kumbukumbu ya historia ya Tanzania.Maktaba hii ipo katika Ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania...

Kaya 2,500 Kahama kupata maji ya Ziwa Victoria

0
ZAIDI ya wakazi 2,500 wa mtaa wa Mtakuja, kata ya Nyahanga katika Halmashauri ya Manspaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wanatarajia kuondokana na adha ya ukosefu wa maji safi na salama baada ya serikali kutoa...

Dar – Kusini panaendeka sasa

0
Magari ya mizigo, mabasi na magari mengine madogo yaliyokwama kwa siku sita katika barabara ya Lindi - Dar es Salaam eneo la Njia Nne (Mikereng’ende hadi Somanga) yakitokea Lindi kuelekea Dar es Salaam yameruhusiwa...

Chuma cha Liganga kitumike kwenye viwanda

0
Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo na Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji kuhakikisha mradi wa chuma wa Liganga unaanza uzalishaji...

Nishati chafu yasababisha vifo Mil 2

0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo amesema zaidi ya watu Milioni mbili hufariki dunia kila mwaka duniani kote kutokana na matumizi ya nishati chafu ya kupikia.Jafo...

Somanga kwaanza kupitika

0
Wizara ya Ujenzi na timu ya wataalam kutoka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) wakishirikiana na makandarasi, wanaendelea na zoezi la urejeshaji wa miundombinu ya barabara katika eneo la Songas ambalo nalo lilikatika katika Barabara...

Tutasimamia biashara ya mazao ya mifugo

0
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amesema wizara yake imejipanga kuyasimamia vema mazao ya mifugo hususan maziwa, nyama na ngozi ili yazalishwe kwa ubora na kushamirisha biashara kwa lengo la kuyafanya mazao hayo...

Miaka 62 ya Red Cross katika jamii

0
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushiriki katika maadhimisho ya miaka 62 ya kazi ya kuhudumia watanzania inayofanywa na Shirika la Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS), yatakayofanyika Mei 11, 2024 mkoani Dodoma.Siku hiyo pia itatumika kutambua...