lima waporomoka, nyumba zaharibiwa

0
Habari kutoka mkoani Mbeya zinaeleza kuwa zaidi ya nyumba 30 zimebomolewa baada ya mlima uliopo kata ya Itezi, Bonde la Uyole kumeguka na kuporomoka.Watu walioshuhudia wamesema tukio hilo limetokea katika lipindi hiki ambacho mvua...

Watumiaji barabara ya Moshi – Arusha wakwama

0
Mamia ya watumiaji wa barabara ya Moshi Arusha wamekwama kwa saa kadhaa katika eneo la Kwa Msomali kufuatia Mto Sanya kujaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Hai mkoani Kilimanjaro.Akizungumzia hali hiyo, Meneja...

Watoto wasichunge ng’ombe, waende shule

0
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt. Batilda Burian amewataka wazazi wa kijiji cha Msomera Wilaya ya Handeni kuwapeleka watoto shule na sio kuwapangia majukumu ya kuchunga ng'ombe wakati umri wao ni wa kwenda shule...

RC Tanga atembelea Msomera

0
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt. Batilda Burian ametembelea kijiji cha Msomera kilichopo katika wilaya ya Handeni kwa lengo na kuzungumza na na kusikiliza kero za wananchi waliohamia katika eneo hilo kwa hiari wakitokea...

CPA Kasore ateuliwa Mkurugenzi Mkuu VETA

0
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua CPA Anthony Mzee Kasore kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA).Kabla ya uteuzi huu, Kasore alikuwa akikaimu nafasi hiyo.Aidha Rais Samia amemteua Goodluck...

Mnaomtukana Rais nawajua, msipoacha nitawataja

0
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema anawafahamu wanaolipa watu ili kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii kwa lengo la kumkatisha tamaa na kuwataka kuacha mara moja."Nafahamu wenye maneno na...

Hatua 3 za Samia kufuatia mafuriko

0
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo matatu ambayo ni utekelezaji wa Serikali kutokana na changamoto ya mafuriko yaliyoikumba nchi katika maeneo mbalimbali.Mosi ni kurejesha utulivu. Katika hili, Rais amesema, "Tutarejesha utulivu katika mikoa iliyoathirika...

Mshindi wa Nobel mgeni rasmi tuzo za uandishi bunifu

0
Mshindi wa Tuzo ya Nobel ya mwaka 2021 katika fasihi, Prof. Abdulrazak Gurnah, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu itayofanyika Aprili 13, 2024 katika ukumbi wa...

Makamu wa Rais awasili Arusha

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakati alipowasili mkoani humo kwa ajili ya kushiriki ibada maalumu inayokwenda sambamba na...

Waepuka adha ya kufuata mbali huduma za uzazi

0
Wanawake wa Kijiji cha Kwadoe, Kata ya Mamba wilayani Lushoto mkoani Tanga wameepukana na adha ya kutembea umbali wa km 18 kufuata huduma za afya ya mama na mtoto baada ya serikali kujenga jengo...