Tetemeko la ardhi laikumba Hokkaido

0
Tetemeko kubwa la ardhi limekikumba Kisiwa cha Hokkaido kilichopo Kaskazini mwa Japan na kuharibu makazi ya watu.Vyombo vya habari katika kisiwa hicho vimeripoti kuwa watu wanane wamekufa na wengine arobaini hawajulikani walipo kutokana na...

Syria yashutumiwa kutumia silaha za kemikali

0
Balozi wa Marekani nchini Syria, - Jim Jeffrey amesema kuwa kuna ushahidi wa kutosha kuwa vikosi vya serikali ya Syria vinajiandaa kutumia silaha za kemikali katika mji wa Idlib.Kauli ya Jeffrey inaelekea kufanana na...

Kimbunga Jebi chaikumba Japan

0
Watu kumi wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kimbunga Jebi kuyakumba maeneo mbalimbali nchini Japan.Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Japan imesema kuwa kimbunga hicho ni kibaya kuwahi kutokea nchini...

Mwili wa Annan waagwa Accra

0
Mwili wa aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan unaagwa leo katika mji mkuu wa Ghana, Accra.Mwili wa Annan uliwasili Jumatatu jioni katika uwanja wa ndege wa kimataifa ulioko mjini Accra...

Pompeo afanya ziara Pakistan

0
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, -Mike Pompeo amefanya ziara ya siku moja nchini Pakistan, ziara yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa nchi hizo mbili.Katika ziara hiyo Pompeo alitarajiwa kukutana na viongozi wa...

Ajali ya ndege yaua 19 Sudan Kusini

0
Watu 19 wamekufa baada ya ndege ndogo ya abiria kuanguka kwenye ziwa Yirol wakati ikijaribu kutua huko Sudan Kusini.Watu wanne tu, wawili wakiwa watoto wamenusurika katika ajali hiyo.Habari kutoka Sudan Kusini zinasema kuwa wakati...

Miili ya waliouawa yarudishwa Namibia

0
Serikali ya Ujerumani imerudisha mabaki ya miili ya watu wa kabila la Horero kutoka nchini Namibia waliouwa na wakoloni wa Kijerumani katika harakati za kugombea haki nchini mwao wakati wa utawala wa kikoloni.Wanaharakati nchini...

Serikali ya Hispania kupokea wahamiaji na wakimbizi waliozuiliwa katika bahari ya Mediterranean.

0
Serikali ya Hispania imesema itapokea boti ya uokoaji iliyokua imebeba zaidi ya wahamiaji na wakimbizi 600 na kuzuiliwa katika bahari ya Mediterranean na Mamlaka ya usafiri wa majini ya Italia.Waziri Mkuu wa Hispania Pedro...

Pacha watano wazaliwa Afrika Kusini

0
Pacha watano wamezaliwa karibu na mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini.Watoto hao wamezaliwa katika wiki ya 30 ikiwa ni mapema kwa wiki 10.Habari kutoka nchini Afrika Kusini zinasema hao ni pacha wa tano kuzaliwa...