Unaufahamu mji mkubwa zaidi duniani?

0
Mji wa Tokyo uliopo nchini Japan ni mji mkubwa zaidi duniani na wenye idadi kubwa ya watu kupita miji mingine yote.Kwa takwimu za Novemba 2022 zilizoonyesha dunia imefikisha idadi ya watu Bilioni nane, pia...

Ajali ya treni yaua 11 Misri

0
Watu 11 wamefariki dunia na wengine 98 wamejeruhiwa katika ajali ya treni iliyotokea karibu na mji mkuu wa Misri, -Cairo.Mamlaka ya Reli nchini Misri imesema kuwa, treni hiyo iliyokuwa na mabehewa...

Mjadala wa ajenda ya demokrasia

0
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango ameshiriki katika mjadala wa ajenda ya demokrasia uliowakutanisha wakuu wa nchi na serikali pamoja na wakuu wa mashirika ya kimataifa uliofanyika kando ya mkutano wa Baraza Kuu la...

AFRIMMA yamtunuku tuzo Rais Samia Suluhu

0
Waandaji wa tuzo za AFRIMMA wamemtunukua Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tuzo ya Uongozi Bora kwa mwaka 2022 kutokana na  mchango wake katika kukuza na kuboresha tasnia ya sanaa na burudani.Tuzo hiyo...

Touadéra kuiongoza tena CAR

0
Rais Faustin-Archange Touadéra wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR), ametangazwa mshindi wa kiti cha Urais kufuatia uchaguzi iliofanyika Desemba 27 mwaka 2020.Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri hiyo imemtangaza Faustin-Archange Touadéra kuwa mshindi...

Mfalme Charles III asimikwa

0
Mfalme Charles III wa Uingereza amesimikwa rasmi kushika kiti cha ufalme, kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II aliyefariki dunia Alhamisi iliyopita akiwa na umri wa miaka 96.Sherehe za kusimikwa kwa Mfalme Charles III...

Tete a tete

0
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Paul Kagame wa Rwanda, mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Kigali.

Wanandoa watumia miaka 20 kurejesha msitu uliopotea

0
Mwandishi wa habari kwa picha Sebastião Salgado na mke wake Lélia Deluiz Wanick wa nchini Brazil, wamefanikiwa kurejesha msitu wa ekari 1,500 ambao ulikuwa umeharibiwa kutokana na ukataji miti.Msitu huo ulikuwa ni makao ya...

Awakumbuka wapenzi 42 kwa mkufu wa almasi

0
Rapa na mwimbaji maarufu duniani Aubrey Drake Graham anayejulikana sana kama Drake raia wa Canada, ametengeneza mkufu ulionakshiwa madini ya almasi kwa kutumia pete za uchumba 'engagement rings' 42 ambazo alipanga kuwavisha wanawake tofauti...

Same na Mwanga wapata majengo mapya ya mahakama

0
Majengo mapya ya mahahama za wilaya za Mwanga na Same mkoani Kilimanjaro, yamezinduliwa rasmi hii leo na Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma.Ujenzi wa majengo ya mahakama hizo ulianza mwezi ...