Tanzania yaikaribisha klabu ya Fenerbehche

0
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, ametembelea moja ya klabu kongwe na mashuhuri duniani Fenerbehche ya Uturuki na kukubaliana kushirikiana katika maeneo ya mafunzo, kambi na ujenzi wa shule za michezo.Akizungumza katika...

Korea Kaskazini yashutumiwa kutumia Drone kushambulia Kusini

0
Maafisa wa jeshi la Korea Kusini wanasema Korea Kaskazini imerusha ndege kadhaa zisizo na rubani katika mpaka wao wa pande zote mbili."Ndege zisizo na rubani" zilikiuka anga ya Korea Kusini katika maeneo ya...

Mawaziri wa Afya wa DRC na Rwanda kukutana kujadili namna ya Kutokomeza Ebola

0
Mawaziri wa afya kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya KONGO na RWANDA leo wanakutana kujadili na kuandika pendekezo litakalowasilishwa katika shirika la Afya Duniani WHO juu ya kukabiliana na ugonjwa wa EBOLA.Mawaziri hao wanakutana nchini...

Wakosoaji wamjia juu Rais Weah

0
Waziri wa Fedha wa Liberia, Samuel Tweah amesema, Rais George Weah wa nchi hiyo anastahili posho ya dola elfu mbili za kimarekani kwa siku (takribani shilingi 4,660,000 za kitanzania) wakati wa safari...

Ujumbe wa serikali kuu ya Ethiopia waelekea Tigray

0
Ujumbe kutoka serikali ya Ethiopia uko njiani kuelekea eneo la Kaskazini la Tigray kusimamia utekelezaji wa makubaliano ya amani ya mwezi uliopita.Huu ni ujumbe wa kwanza wa ngazi ya juu wa shirikisho ambao...

Martinez achora tattoo ya Kombe la Dunia

0
Kipa wa timu ya Taifa ya Argentina, Emiliano Martinez amechora tattoo ya Kombe la Dunia ambalo wamelinyakua mwaka huu katika michuano iliyofanyika Qatar.Martinez anakuwa mchezaji wa pili kutoka katika timu hiyo kujichora tattoo akitanguliwa...

Shambulio laua 230 Ethiopia

0
Watu 230 wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa baada ya wapiganaji wa kikundi cha Oromo Liberation Army (OLA) kuwashambulia wananchi wa jamii ya Tole katika kijiji kimoja kwenye mkoa wa Oromo nchini...

Moto wa msituni waua watu 26

0
Watu 26 wamefariki dunia na wengine wengi wamejeruhiwa, kufuatia moto wa msituni unaoendelea kuwaka nchini Algeria.Katika taarifa yake wizara ya Mambo ya Ndani ya Algeria imeeleza kuwa, watu 24 wamefariki dunia katika mji...

UVIKO19 yarejea, shule zafungwa China

0
Ofisi ya Elimu ya Shanghai, China imeagiza madarasa kufanyika kwa njia mtandaoni kuanzia Jumatatu kutokana na kuongezeka kwa maambukizo ya UVIKO19 nchini humo.Maambukizi ya UVIKO19 yamezidi kuongezeka tangu China ilipoondoa vizuizi wiki iliyopita, na...

Ajali ya treni yaua 11 Misri

0
Watu 11 wamefariki dunia na wengine 98 wamejeruhiwa katika ajali ya treni iliyotokea karibu na mji mkuu wa Misri, -Cairo.Mamlaka ya Reli nchini Misri imesema kuwa, treni hiyo iliyokuwa na mabehewa...