China kupiga stop harusi za kifahari
China ina mpango wa kudhibiti ongezeko la harusi za kifahari ambazo zimekuwa zikishamiri katika miaka ya hivi karibuni.Taarifa iliyotolewa na serikali ya China imesema kuwa harusi nyingi zinazofanyika nchini humo hivi sasa zimekua sio...
Watanzania wasisitizwa kuthamini utamaduni
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe ameendelea kusisitiza kuwa lugha ni kielelezo na sehemu muhimu ya utambulisho wa Taifa lolote duniani.Dkt Mwakyembe ametoa kauli hiyo jijini Dodoma katika hafla ya...
Wimbo wa Mwanza wapigwa stop na BASATA
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA ) limeufungia rasmi wimbo unaojulikana kama Mwanza ulioimbwa na msanii wa lebo ya Wasafi, -Raymond Mwakyusa maarufu kama Rayvanny na kumshirikisha mwanamuziki mwenzake Naseen Abdul maarufu kama Diamond...
Miss Tanzania kutumia lugha ya kiswahili
Mrembo wa Tanzania kwa mwaka 2018 Queen Elizeberth Makune amesema kuwa atatumia lugha ya kiswahili kwenye shindano la kumtafuta mrembo wa dunia pamoja na kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii ili kuwavutia watalii wengi kutoka...
Wema afikishwa mahakamani
Msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam kusomewa makosa yanayomkabili ya kusambaza picha zisizo na maadili kwenye mitandao ya kijamii.Habari zinasema kuwa Wema amefikishwa...
Cosby ahukumiwa kifungo jela kwa udhalilishaji
Mahakama moja huko Pennsylvania nchini Marekani imemuhukumu kifungo cha kati ya miaka mitatu na kumi jela mchekeshaji Bill Cosby kwa kosa la udhalilishaji.Cosby mwenye umri wa miaka 81, pia ameorodheshwa kuwa mtu mwenye tabia...
Makamu wa Rais ataka bajeti kuadhimisha urithi wetu
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amewaagiza wakuu wa mikoa nchini kutenga bajeti kwa ajili ya kuadhimisha tamasha la urithi wetu ngazi ya mkoa ifikapo mwezi Septemba kila mwaka.Amesema hayo katika uzinduzi wa tamasha...
Queen Elizabeth Miss Tanzania 2018
Mrembo Queen Elizabeth Makune ambaye ni Mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo cha Uhasibu kutoka jijini Dar es salaam amevikwa Taji la Miss Tanzania baada ya kuwabwaga warembo wengine katika shindano lililofanyika Septemba...
20 kuwania taji la Miss Tanzania
Walimbwende 20 Agosti Nane mwaka huu watapanda jukwaani kuwania taji la Miss Tanzania ambalo pia ni tiketi ya kushiriki mashindano ya urembo ya dunia, Miss World.Mlezi wa warembo hao Fatma Mtisiri amesema kuwa fainali...
Wengi wajitokeza kushiriki Club Rahaleo Dodoma
Jaji Mkuu wa shindano la Club Rahaleo show Innocent NyanyagwaWasanii wengi wamejitokeza katika siku ya kwanza ya usaili wa kusaka vipaji kwenye shindano la Club la leo Show huko mjini Dodoma.Majaji wa shindano hilo...