Koffi ahukumiwa kifungo cha miaka miwili jela
Nyota wa muziki wa mtindo wa rumba na soukous, -Koffi Olomide amepatikana na hatia ya udhalilishaji wa mmoja wa wanengeuaji wake, wakati mnenguaji huyo akiwa na umri wa miaka Kumi na mitano.Mahakama...
Wema aachiwa kifungoni
Msanii wa filamu
nchini Wema Sepetu amewaomba wasanii nchini kufanya kazi zao kwa weledi ili
waendelee kuwa kioo cha jamii.Wema ameyasema
hayo jijini Dar es salaam baada ya kuondolewa adhabu yake ya kutofanya kazi za
sanaa, adhabu iliyotolewa...
Wasanii wa Tanzania waendelea kufanya Vizuri Kimataifa
Wasanii wanne watanzania wanatarajia kushiriki katika msimu wa Coke Studio mwaka 2019 unaowashirikisha wasanii mbalimbali wenye vipaji barani Afrika na kuonyesha uwezo wao katika tasinia ya burudani.Hayo yamebainishwa na mkuu wa kitengo cha masoko...
Wanamuziki wamlilia Godzilla
Wasanii mbalimbali wa
muziki nchini wameendelea kutoa pole kufuatia kifo cha Mwanamuziki wa miondoko ya Hip Hop nchini
Golden Mbunda maarufu kama Godzilla aliyefariki dunia ghafla usiku wa Jumatano
Februari 13 mwaka huu nyumbani kwao
Salasala jijini Dar...
NYOSHI EL SADAAT WASANII TUNAPATA ELFU 30 KWA SHOW
https://www.youtube.com/watch?v=nsfwOaRT3y0&t=20s
RC MAKONDA : KAMA HARMONIZE ANATUMIA BANGI AKIRUDI ATASUKUMWA NDANI
https://www.youtube.com/watch?v=NNQwrd6OGxU
Basata yakanusha kuwafungulia wasanii Diamond na Rayvan
Baraza la Sanaa la Taifa(Basata) limekanusha kuwafungulia wasanii wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnamz na Raymond Mwakyusa maarufu kama Rayvan kufanya maonesho ndani na nje ya nchi .Taarifa iliyosambazwa...