Mo akutana na uongozi Simba

0
53

“Nimefanya kikao na viongozi wa Simba SC kujua changamoto ziko wapi na namna ya kuzitatua, kikao kimeenda vizuri. Wanasimba tusife moyo tuendelee kushirikiana.” ameandika Mohamed Dewji kwenye ukurasa wake wa Instagram

Je, Wewe unaona changamoto iko wapi Simba SC?.