Polisi wachunguza chanzo cha kuteketea soko maarufu la mitumba

0
Zaidi ya vibanda 100 katika soko la Mwanga Selemala lililopo kwenye Manispaa ya Kigoma - Ujiji vimeteketea kwa moto ambao umezuka majira ya saa nane usiku wa kuamkia leo Februari 10, 2024.Kaimu Kamanda wa...

Soko la mitumba Kigoma lateketea kwa moto

0
Soko kubwa la Mitumba lililopo Manispaa ya Kigoma - Ujiji limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Februari 10, 2024.Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Kigoma kwa kushirikiana na Wananchi wamefanikiwa kuzima moto huo...

Watumishi wa Mahakama wapandishwa kizimbani

0
Kesi tatu za Uhujumu Uchumi zinazowakabili wahasibu wawili na mtunza kumbukumbu mmoja wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara imeanza kusikilizwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara kwa kusikilizwa hoja za awali.Baada ya...

Jikingeni na ugonjwa wa moyo

0
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesema jitihada zinahitajika katika kutoa elimu ya magonjwa yasiyoambukiza pamoja na kuzingatia mtindo bora wa maisha, mazoezi na kufanya vipimo vya afya mara kwa mara ili kukabiliana na...

Lindi na Mtwara kupata umeme wa uhakika

0
Katibu Mkuu wa wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mrambaamesema lengo la Serikali ni kuimarisha na kuongeza uzalishaji wa umeme kwa mikoa ya Lindi na Mtwara.Mhandishi Mramba ametoa kauli hiyo katika kijiji cha Hiyari halmashauri...

Apatiwa ramani aliyoidai miaka 4 baada ya agizo la Makonda

0
Katibu wa NEC, Itikadi, Siasa, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Paul Makonda amefanikisha kupatiwa ramani Mwanamke mmoja wa Manispaa ya Iringa aliyeifuatilia ramani hiyo kwa miaka minne ofisi ya ardhi bila...

Bandari ya Mtwara yaongeza uwezo kuhudumia mizigo

0
Shehena ya mizigo inayohudumiwa kupitia Bandari ya Mtwara imeongezeka kutoka wastani wa tani Laki nne hadi kufikia tani Milioni 1.6 iliyohudumiwa kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.Ongezeko hilo linatokana na bandari hiyo kufanya uwekezaji...

Taasisi za Serikali zadaiwa deni la maji la Bil 26.2

0
Hoja ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira iliyowasilishwa Bungeni Dodoma na Mwenyekiti wa kamati hiyo Jackson Gedion imesema taasisi za Serikali zinadaiwa malimbilizo ya madeni ya ankara za maji zinazotolewa...

Poland kuisaidia Tanzania katika sekta mbalimbali

0
Rais Andrzeja Duda wa Poland amesema nchi yake ipo tayari kushirikiana na Tanzania katika sekta mbalimbali, ikiwa ni pamoja na Viwanda vya Kilimo na uzalishaji kwa kutumia teknolojia ya kisasa.Rais Duda pia ametoa fursa...

CT-Scan Rukwa mkombozi kwa wagonjwa

0
Kwa mara ya kwanza mkoani Rukwa Serikali ilinunua mashine mpya ya kisasa ya CT-Scan na tangu kufungwa kwa mashine hiyo Desemba 2022 imehudumia wagonjwa takribani 96.Naibu katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe...