Trump ajisalimisha polisi, aachiwa kwa dhamana

0
Rais Mstaafu wa Marekani, Donald Trump alijisalimisha kwa Polisi katika Jimbo la Georgia kutokana na mashtaka yanayomkabili akidaiwa kujaribu kubadili matokeo ya uchaguzi kwenye jimbo hilo mwaka 2020.Hata hivyo Trump yupo nje kwa dhamana...

Kiongozi wa wagner afariki dunia

0
Watu kumi wanaaminika kuwa wamefariki kwenye ajali ya ndege Kaskazini mwa Mji Mkuu wa Urusi, Moscow ambapo Mamlaka ya Anga ya Urusi imesema Kiongozi Mkuu wa Kundi la Wagner Yevgeny Prigozhin ni miongoni mwa...

Zimbabwe wanapiga kura leo

0
Raia wa Zimbabwe leo wanapiga kura kumchagua Rais pamoja na Wabunge, baada ya kuhitimishwa kwa kampeni za uchaguzi huo ambazo zilitawaliwa na suala la mfumko wa bei.Kutokana na zoezi hilo la upigaji kura, leo...

Tanzania na Indonesia zafungua ukurasa mpya wa ushirikiano

0
Tanzania na Indonesia zimefikia makubaliano ya kujenga uwezo na ujuzi katika maeneo matano muhimu ambayo yanakwenda kufungua sura mpya ya ushirikiano baina ya mataifa hayo mawili.Akizungumza mbele ya waandishi wa habari baada ya kufanya...

ECOWAS Yaidhinisha Niger Kuvamiwa Kijeshi

0
Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imeidhinisha kutumwa kwa kikosi cha dharura kinachoundwa na nchi Wanachama wa Jumuiya hiyo kwenda nchini Niger, ili kurejesha utawala wa kikatiba nchini humo.Hatua hiyo imefikiwa...

Aliyekuwa Waziri Mkuu Paskistan afungiwa siasa kwa miaka mitano

0
Waziri Mkuu Mstaafu wa Pakistan, Imran Khan amezuiliwa kushikilia ofisi yoyote ya umma kwa muda miaka mitano na Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya rushwa, uamuzi ambao...

Rais aliyepinduliwa Niger aomba msaada wa Marekani

0
Rais wa Niger aliyepinduliwa, Mohamed Bazoum ameiomba Marekani na jumuiya ya kimataifa kusaidia kurejesha utawala wa kiraia nchini humo kufuatia mapinduzi ya kijeshi juma lililopita.Katika chapisho lake alilosema anaandika akiwa kama mateka amesema huenda...

Taasisi Afrika zatakiwa kuanzisha hifadhi binafsi za chakula

0
Taasisi zisizo za Kiserikali Barani Afrika zimeshauriwa kutafuta fedha kutoka kwa wahisani na watu wenye uwezo barani humo kwa ajili ya kuanzisha hifadhi binafsi za chakula ili kuzisaidia familia zinazoishi kwenye mazingira magumu.Hayo yamebainishwa...

Majaliwa katika mkutano wa pili wa pili Russia-Afrika

0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano wa pili wa kilele baina ya wakuu wa Nchi na Serikali kutoka mataifa ya Afrika na Russia unaofanyika St. Petersburg nchini Russia.Mkutano huo...

TBC katika mkutano wa pili Russia-Afrika

0
Mkuu wa Kitengo cha Mipango na Maendeleo kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Nestory Madirisha akimwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo Dkt. Ayub Rioba Chacha katika mkutano wa pili wa kilele baina ya wakuu...