Teknolojia mpya ya barabara zinazochaji magari

0
Ujerumani imeanza kuwekeza katika mradi wa teknolojia mpya ya ujenzi wa barabara zenye uwezo wa kuchaji magari bila ya kutumia waya, hii itakuwa ni teknolojia mpya zaidi kwa nchi zilizoendelea.Mradi huo unatekelezwa na kampuni...

TRA yavunja rekodi ya makusanyo mwezi Septemba

0
https://www.youtube.com/watch?v=rqj0zeSgTqQ&feature=youtu.beMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imekusanya mapato ya Serikali ya Shilingi Trilioni 1.767 katika kipindi cha mwezi Septemba pekee.Kamishna Mkuu wa TRA Dkt Edwin Mhede amesema kuwa, makusanyo hayo ambayo ni sawa...

Marekani yatishia kujiondoa WTO

0
Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuiondoa nchi yake kwenye Shirika la Biashara Duniani (WTO) iwapo shirika hilo litashindwa kubadilisha utendaji wake kwa nchi hiyo.Mara nyingi Rais Trump amekuwa akidai kuwa WTO imekua...

Serikali yanunua Tanzanite ya mabilioni kutoka kwa mchimbaji mdogo

0
Serikali leo imekabidhiwa mawe mawili makubwa ya madini ya Tanzanite yaliyochimbwa na mchimbaji mdogo, Saniniu Laizer.Madini hayo yamekabidhiwa huko Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa Waziri wa Madini Doto Biteko kwa niaba ya serikali...

Bidhaa ziongezwe thamani

0
Esther Maruma, ambaye ni miongoni mwa wachangia mada katika mjadala unaohusu mabadiliko ya uchumi duniani, athari na suluhisho kwa Mwananchi wa kawaida amesema, katika kipindi hiki cha mdororo wa kiuchumi Duniani Taasisi za fedha...

Ranchi ya Mkata kuwa kituo cha kuzalisha mbuzi

0
Serikali imesema ranchi ya Mkata iliyopo wilayani Kilosa mkoani Morogoro itakuwa sehemu ya kuzalisha mbuzi kwa wingi, kwa ajili ya mkakati wa kopa mbuzi lipa mbuzi ambao unatarajia kuanza hivi karibuni.Akizungumza wakati wa...

BoT yachukua usimamizi wa China Commercial Bank Ltd

0
Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imechukua usimamizi wa China Commercial Bank Limited na kusimamisha Bodi ya Wakurugenzi na uongozi wa benki hiyo ya nchini China baada ya kubaini upungufu mkubwa wa mtaji kinyume na...

TIC yatakiwa kuwatembelea Wawekezaji wazawa

0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika Uwekezaji Angela Kairuki, ameuagiza uongozi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kutembelea na kugakua mazingira ya Wafanyabiashara na Wawekezaji wazawa waliopo mkoani Ruvuma ndani ya kipindi...

Tanzania kupeleka bidhaa zaidi China

0
China imeahidi kufungua zaidi soko lake kwa bidhaa za Tanzania, pamoja na kuongeza uwekezaji hasa katika sekta ya viwanda.China pia imeahidi kuunga mkono jitihada za Serikali ya Tanzania katika utekelezaji wa...

Ofisi za ardhi zatakiwa kuwa na daftari la migogoro ya ardhi

0
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameziataka ofisi za ardhi za mikoa zilizozanzishwa hivi karibuni kuwa na daftari maalum lenye orodha ya migogoro ya ardhi ili kurahisisha ufuatiliaji sambamba na...