KitaifaRais Samia ahesabiwa ChamwinoBy TBC - August 23, 20220122ShareFacebookTwitterWhatsAppLinkedin Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na karani wa sensa Phausta Ntigiti, wakati alipokuwa akihesabiwa katika makazi yake Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo Agosti 23, 2022.