Kiswahili chatamba Nigeria

0
Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dkt. Benson Bana amesema lugha ya Kiswahili inatamba nchini Nigeria kupitia Redio ya Taifa ya Sauti ya Nigeria (VON).Amesema kwa sasa ubalozi Tanzania nchini Nigeria umeanzisha darasa la Kiswahili...

Dkt. Rioba atembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Nigeria

0
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha ametembelea ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Nigeria na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo Dkt. Benson Bana.Katika mazungumzo yao wamejadili...

Silaha haramu 13,500 zasalimishwa

0
Wananchi wa Serbia wamesalimisha silaha haramu 13,500 zinazojumuisha mabomu yaliyotengenezwa kiholela, bunduki, roketi, vifaru na silaha nyingine zisizoruhusiwa.Serbia ilitangaza kuanza zoezi la kusalimisha silaha nchini humo kufuatia mauaji yaliyotokea katika mji...

Bia kifungua kinywa maarufu cha heshima Ujerumani

0
Sio jambo la ajabu kuona bia au mvinyo unatumika kama kifungua kinywa kwa jamii mbalimbali.Nchini Ufaransa ifikapo saa tatu asubuhi ni utamaduni wao kupata kifungua kinywa cha mvinyo pamoja na vinywaji vingine.Kwa nchi nyingine...

Adai pesa za picha za harusi baada ya talaka

0
Aliyekuwa mteja wa mpiga picha mashuhuri nchini Afrika Kusini Lance Romeo mwaka 2019, amedai arejeshewe angalau asilimia 70 ya pesa aliyolipia picha za harusi yake kwani ametalikiana na mumewe na hazihitaji tena picha hizo.Akiwa...

Anusurika kifo kwa kutumia mvinyo na pipi

0
Mwanamke mmoja nchini Australia amenusurika kifo msituni baada ya kukaa huko kwa siku tano na kwa muda wote huo alikuwa akinywa mvinyo na kulamba pipi kijiti.Kinachofanya tukio hili kuvutia zaidi ni kwamba Mwanamke huyo...

Trump hatiani tuhuma za udhalilishaji

Baraza la Waamuzi huko Manhattan, New. York, Marekani limemkuta na hatia Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump katika shauri la kumdhalilisha kijinsia mwandishi mashuhuri wa zamani wa habari nchini humo E. Jean Carroll,...

Rais Samia ateta na Diaspora Windhoek

0
Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Watanzania wanaoishi nchini Namibia (Diaspora).Mazungumzo hayo yamefanyika katika ofisi ya Ubalozi wa Tanzania jijini Windhoek.Dkt. Samia amezungumza na Watanzania hao wanaoishi nchini Namibia mara baada ya...

Expedia kutangaza utalii wa Tanzania

0
Kampuni kubwa ya biashara ya utalii duniani kupitia mtandao Expedia Group, imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania kupitia Bodi ya Utalii (TTB) kutangaza na kuleta watalii wengi zaidi Tanzania.Kauli hiyo imetolewamjini Seattle nchini Marekanina...

HOW SUSTAINABLE TOURISM FLORISH LIVES AT BABATI RIGION

0
In Mbungwe Division, Babati District in Manyara Region, tourism activities seem to be flourishing and benefiting the people living in those areas.Babati District has various tourist attractions including Lake Manyara, Lake Burunge, Burunge Wildlife...