Tumekuja kuliombea Taifa

0
82

Maelfu ya Watanzania wamefika katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma kwa ajili ya kushiriki kwenye maombi na Dua ya kuliombea Taifa katika kipindi hiki cha kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano.