Kimbunga chaipiga tena India

0
163

Eneo la mashariki mwa India limepigwa na awamu ya pili na kimbunga Yaas, ambacho tayari kimesababisha madhara makubwa nchini humo.

Kwa mara ya kwanza kimbunga Yaas kiliipiga India wiki moja iliyopita na kuleta madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na uharibifu wa mali na miundombinu mbalimbali.