Ahmed Msangi sasa Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini

0
1518

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,-Simon Sirro amefanya mabadiliko ndani ya jeshi hilo, lengo likiwa ni kuboresha utendaji kazi.

Miongoni mwa mabadiliko hayo,  IGP Sirro amemteua Ahmed Msangi kuwa msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini kuchukua nafasi ya Barnabas Mwakalukwa.