
Majeruhi wanane waliolazwa katika Hospital ya mkoa wa KIGOMA MAWENI kufuatia ajali ya gari aina ya FUSO iliyoua watu saba papohapo jana katika kijiji cha ILUNDE wilayani kigoma mkoani kigoma wamesema mwendo kasi na pombe aliyokuwa amekunywa dereva ndiyo chanzo cha ajali hiyo.
Last Updated ( Thursday, 08 October 2009 13:44 )
Read more...
News

.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)