Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)

Listen TBC Live
      TBC Taifa
      TBC FM
  • 0
  • 1
  • 2
prev
next

Askofu Mtega afafanua sababu za kustaafu kwake

News image

Askofu Mkuu Mstaafu wa jimbo Katoliki la Songea Mhashamu Norbert Mtega ametoa ufafanuzi juu ya uamuzi wake wa kumuomba Baba Mtakatifu kustaafu na kusema amefanya hivyo kwa maslai ya jimbo kuu Katoliki la Songea baada ya kubaini kuwa afya yake haimwezeshi kumudu majukumu ya kiutawala ya jimbo hilo...

Read more

Serikali kuwatambua wabunifu TEHAMA

News image

Mkurugenzi wa masuala ya  ubunifu, ujasiriamali na ushindani kutoka  Tume ya Sayansi na Teknolojia  Tanzania  Dkt.  Mafunda Dugushilu  amesema kuwa  Wizara ya  Mawasiliano Sayansi na Teknolojia tayari imeshaanza kutoa mwongozo  wa kuwatambua wabunifu n...

Read more

Wakazi Ruhu Rorya wakamilisha ujenzi wa madarasa

News image

Wananchi wa kijiji cha Ruhu wilayani Rorya mkoani Mara wameondoa kero ya msongamano wa wanafunzi madarasani katika shule ya msingi Ruhu baada ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa kwenye shule mpya ya msingi ya Kyaro. Ujenzi wa vyumba hivyo vya madarasa umekamilika haraka baada y...

Read more

Kamati kuu ya CCM yakutana Dodoma

News image

Kamati kuu ya chama cha mapinduzi-CC imekutana katika kikao cha siku moja chini ya mwenyekiti wa CCM taifa Dkt. Jakaya Kikwete ambapo katika kikao hicho kati ya agenda zitakazojadiliwa ni pamoja na uteuzi wa jina la mgombea ubunge katika jimbo la Chambani wilaya ya mkoani kusini pemba. Katibu...

Read more

Membe aagiza uwekezaji AICC

News image

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernad Membe ametaka bodi ya Kituo cha Kimataifa cha Mikutano-AICC- Jijini Arusha kufanya jitihada kuhakikisha inawekeza katika jengo hilo. Waziri Membe amesema kuwa badala ya kukosa kipato kutokana na ofisi nyingi kufungwa baada ya mahakama ...

Read more

Polisi Mara yakamata shehena za bangi

News image

Jeshi la Polisi mkoani Mara limefanya oparesheni kubwa katika wilaya nne za mkoa huo na kukamata shehena kubwa ya bangi, mirungi,silaha na pombe haramu aina ya gongo. Katika oparesheni hiyo. watuhumiwa zaidi ya 290 wamekamatwa kwa kuhusishwa na matukio hayo ya kihalifu ikiwa ni pamoja na kuka...

Read more

Kamati kuu ya CCM yakutana Dodoma

Kamati kuu ya CCM yakutana Dodoma Kamati kuu ya chama cha mapinduzi-CC imekutana katika kikao cha siku moja chini ya mwenyekiti wa CCM taifa Dkt. Jakaya Kikwete ambapo katika kikao hicho kati ya agenda...
More:

Wakimbizi wa mali wakabiliwa na mazingira magumu

Wakimbizi wa mali wakabiliwa na mazingira magumu Maelfu ya wakimbizi kutoka nchini Mali wanaokimbilia Mauritania wameelezwa kukabiliwa na mazingira magumu katika kambi ya Umoja wa Mataifa. Kwa mujibu wa madaktari...
More:

Zanzibar yaandaa mkakati kudhibiti mfumuko wa bei

Zanzibar yaandaa mkakati kudhibiti mfumuko wa bei Wajumbe  wa Baraza  la wawakilishi  Zanzibar  wameridhia  muswada  wa sheria wa kuanzisha mamlaka  ya  kusimamia na udhibiti &n...
More:

Dagaa mchelee, Changuuu, Kibuaaaa, Satoo, Dagaa kambaa, Sangaraaa, Peregeee.

Dagaa mchelee, Changuuu, Kibuaaaa, Satoo, Dagaa kambaa, Sangaraaa, Peregeee. Samakiiii. Kweli wote hao ni samaki, tena ni samaki wanaopendwa sana na wala samaki sio Tanzania tu, bali duniani kote. Upenzi wa samaki hautokani na utamu wake tu, ba...
More:

Makanisa ya kiprotestanti yaanza mkutano Ujerumani

Makanisa ya kiprotestanti yaanza mkutano Ujerumani Mkutano wa 34 wa Makanisa ya Kiprotestanti nchini Ujerumani, Kirchentag, umefunguliwa rasmi mjini Hamburg nchini humo, huku ukiwa umebeba agenda kadhaa ikiwemo kudoror...
More:

Wasanii kuwania tuzo ya Kigoli

Wasanii kuwania tuzo ya Kigoli Wasanii kumi na nane wa kike watachuana katika shindano la kuwania mcheza dansi bora wa shindano la kigoli litakalofanyika Mei 31 jijini Dar es Salaam. Mratibu wa ...
More:
Banner