Askofu Mtega afafanua sababu za kustaafu kwake![]() Askofu Mkuu Mstaafu wa jimbo Katoliki la Songea Mhashamu Norbert Mtega ametoa ufafanuzi juu ya uamuzi wake wa kumuomba Baba Mtakatifu kustaafu na kusema amefanya hivyo kwa maslai ya jimbo kuu Katoliki la Songea baada ya kubaini kuwa afya yake haimwezeshi kumudu majukumu ya kiutawala ya jimbo hilo... Read more |
Serikali kuwatambua wabunifu TEHAMAMkurugenzi wa masuala ya ubunifu, ujasiriamali na ushindani kutoka Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania Dkt. Mafunda Dugushilu amesema kuwa Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia tayari imeshaanza kutoa mwongozo wa kuwatambua wabunifu n... Read more |
Wakazi Ruhu Rorya wakamilisha ujenzi wa madarasaWananchi wa kijiji cha Ruhu wilayani Rorya mkoani Mara wameondoa kero ya msongamano wa wanafunzi madarasani katika shule ya msingi Ruhu baada ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa kwenye shule mpya ya msingi ya Kyaro. Ujenzi wa vyumba hivyo vya madarasa umekamilika haraka baada y... Read more |
Kamati kuu ya CCM yakutana Dodoma![]() Kamati kuu ya chama cha mapinduzi-CC imekutana katika kikao cha siku moja chini ya mwenyekiti wa CCM taifa Dkt. Jakaya Kikwete ambapo katika kikao hicho kati ya agenda zitakazojadiliwa ni pamoja na uteuzi wa jina la mgombea ubunge katika jimbo la Chambani wilaya ya mkoani kusini pemba. Katibu... Read more |
Membe aagiza uwekezaji AICC![]() Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernad Membe ametaka bodi ya Kituo cha Kimataifa cha Mikutano-AICC- Jijini Arusha kufanya jitihada kuhakikisha inawekeza katika jengo hilo. Waziri Membe amesema kuwa badala ya kukosa kipato kutokana na ofisi nyingi kufungwa baada ya mahakama ... Read more |
Polisi Mara yakamata shehena za bangi![]() Jeshi la Polisi mkoani Mara limefanya oparesheni kubwa katika wilaya nne za mkoa huo na kukamata shehena kubwa ya bangi, mirungi,silaha na pombe haramu aina ya gongo. Katika oparesheni hiyo. watuhumiwa zaidi ya 290 wamekamatwa kwa kuhusishwa na matukio hayo ya kihalifu ikiwa ni pamoja na kuka... Read more |
Kamati kuu ya chama cha mapinduzi-CC imekutana katika kikao cha siku moja chini ya mwenyekiti wa CCM taifa Dkt. Jakaya Kikwete ambapo katika kikao hicho kati ya agenda...
Maelfu ya wakimbizi kutoka nchini Mali wanaokimbilia Mauritania wameelezwa kukabiliwa na mazingira magumu katika kambi ya Umoja wa Mataifa.
Kwa mujibu wa madaktari...
Wajumbe wa Baraza la wawakilishi Zanzibar wameridhia muswada wa sheria wa kuanzisha mamlaka ya kusimamia na udhibiti &n...
Samakiiii. Kweli wote hao ni samaki, tena ni samaki wanaopendwa sana na wala samaki sio Tanzania tu, bali duniani kote. Upenzi wa samaki hautokani na utamu wake tu, ba...
Mkutano wa 34 wa Makanisa ya Kiprotestanti nchini Ujerumani, Kirchentag, umefunguliwa rasmi mjini Hamburg nchini humo, huku ukiwa umebeba agenda kadhaa ikiwemo kudoror...
Wasanii kumi na nane wa kike watachuana katika shindano la kuwania mcheza dansi bora wa shindano la kigoli litakalofanyika Mei 31 jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa ...