Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)

Monday
Sep 06th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home You and Your Family Robben atakosa mechi ya kwanza na Hungary

Robben atakosa mechi ya kwanza na Hungary

Mchezaji wa timu ya taifa ya UHOLANZI,ARJEN ROBBEN

Mchezaji wa ARJEN ROBBEN wa timu ya taifa ya UHOLANZI atakosa mchezo wao kwa kwanza wa  fainali za kombe la dunia dhidi ya timu ya taifa ya HUNGARY utakaofanyika jumamosi  kutokana na kuuumia misuli.

Kiongozi wa timu hiyo BERT VAN MARWIJK amesema kuwa mchezaji huyo mwenye miaka 26 kuwa tatizo lake alilolipata  ni kubwa hivyo hataweza kucheza  mapo atakapokuwa fiti.

MARWIJK amesema kuwa kwa sasa wanausbiria mchezaji huyo aweze kupona ili ajiunge na  wachezaji wengine katika kuhakikisha wanafanya vyema katika michuano hiyo.

Mchezaji huyo aliteuliwa kuwa mchezaji wa mwaka 2010 huko nchini UJERUMANI  baada  ya kuisadia timu yake ya BAYERN MUNICH kutinga fainali za michuano ya kombe la UEFA.

 
Banner