
Kiungo mshambuliaji wa ASERNAL CECS FABRIGAS anasema amefanya mazungumzo ya mazuri ambayo hajawahi kuyafanya na kocha wake ASERNE WENGER kuhusu mustakabali wake wa kisoka.
CESC ambaye kwa sasa ni majeruhi akiwa na timu ya taifa ya HISPANIA kwa matayarisho ya kombe la dunia anasema WENGER amwambia kwa sasa aweke mawazo yake kwenye fainali za kombe la dunia na mambo mengine yote yatakuja baadae na kwamba WENGER yuko tayari kumsaidia.
Kuhusu kombe la dunia FABRIGAS anasema anaendelea vizuri
FABRIGAS na FERNANDO TORRES wote wameitwa kwenye kwenye kikosi cha HISPANIA wakiwa ni majeruhi lakini sasa wanaonesha kupata ahueni.



